Hivi suala la mafuta kuwa machafu na masafi baadhi ya sheli lina ukweli ndani yake? Kuna madhara gani?

Hivi suala la mafuta kuwa machafu na masafi baadhi ya sheli lina ukweli ndani yake? Kuna madhara gani?

Niliwahi kushauri kwamba....
Usiandike uzi kama upo Kitamba white, maana lazima utaonekana umekata vyombo tu...🤣
1. Hakuna kitu inaitwa "Sheri", lakini kuna kampuni ya mafuta inaitwa Shell.
2. Hakuna fuel inayokuja ikiwa chafu, lakini hii nchi inapokea kitu inaitwa mafuta ghafi.
 
Niliwahi kushauri kwamba....
Usiandike uzi kama upo Kitamba white, maana lazima utaonekana umekata vyombo tu...🤣
1. Hakuna kitu inaitwa "Sheri", lakini kuna kampuni ya mafuta inaitwa Shell.
2. Hakuna fuel inayokuja ikiwa chafu, lakini hii nchi inapokea kitu inaitwa maguta ghafi.
lakini hii nchi inapokea kitu inaitwa maguta ghafi.😀mulemule😂
 
Niliwahi kushauri kwamba....
Usiandike uzi kama upo Kitamba white, maana lazima utaonekana umekata vyombo tu...🤣
1. Hakuna kitu inaitwa "Sheri", lakini kuna kampuni ya mafuta inaitwa Shell.
2. Hakuna fuel inayokuja ikiwa chafu, lakini hii nchi inapokea kitu inaitwa maguta ghafi.
lakini hii nchi inapokea kitu inaitwa maguta ghafi.😀mulemule
Habari wana JF, swali langu linalenga watumiaji wa vyombo vya moto.

Je, ni kweli mafuta machafu yapo kwenye baadhi ya vituo vya mafuta au ni uzushi tuu?

Na kama ni kweli kuna mathara gani unapoweka hayo mafuta kwenye chombo cha moto?
PoC: Shell ni brand name ya kampuni nadhani ya uingereza inayojishughulisha na uchimbaji usafirishaji, usambazaji na uuzaji wa mafuta ya vyombo vya moto na vilainishi vyake
Ishu ya mafuta machafu ipo sana kwenye hizi kampuni mpyampya zinazojishughulusha na uuzaji na usambazi wa mafuta na sababu ni hizi hapa
1. Hazina magari yake maalum na rasmi kwa ajili ya kazi hiyo huu.. Wengi wanakodisha pengine kutokana na mitaji midogo
2. Magari ya kubebea mafuta si salama sana.. Maana hubeba kila aina ya mafuta na usafi wa tank hauzingatiwi kwa asilimia 100
3. Kampuni hizi ndogo ndogo za kuuza mafuta nyingi hupata mafuta yake toka depo za vichochoroni ambazo nyingi hazijasajiliwa na mamlaka na hazijawahi kukaguliwa usafi na usalama wake
4. Kampuni nyingi mpya zinamilikiwa kwa asilimia kubwa na watu wasio na mitaji mikubwa na hata kama wana hiyo mitaji kuna taratibu kadhaa ya usafirishaji usambazaji na uhifadhi wa mafuta hawazizingatii
5. Ubora wa tank za kuhifadhia mafuta kwenye vituo vya uuzaji ndio kila kitu na ndio chanzo cha kuyafanya mafuta yawe safi na salama ama machafu
Kivipi?
Tank halisi lenye viwango vya kimataifa la kuhifadhia mafuta ni gharama kubwa sana kutokana na
Maandalizi na mazingjra litakapofukiwa
Aina ya bati chuma litakalotumika. Na gauge thickness
Aina ya rangi itakayopigwa ndani na nje ya tank kwa ajili ya kuzuia kutu (hii ndio ghali zaidi)
Sensor zitakazofungwa ndani na nje ya tank kwa ajili ya kutambua unyevu, dalili za kutu na uchafu

Tank moja linalokidhi viwango vya kimataifa gharama yake inaweza kuzidi ujenzi wa kituo kizima kwa mwonekano wa nje

Naendelea
 
Naendelea
Hii biashara huria imetuletea wafanyabiashara holela wanaojali zaidi mwonekano wa nje kuliko usalama wa ndani
Mamlaka nazo labda kwa uzembe tu au kutofahamu na sababu nyinginezo wamejikuta wanatoa tu vibali vya ujenzi wa vituo vya nafuta bila kupata ithibati za
Mtaji wa mhusika
Geological survey ya sehemu kinapotaka kuwekwa kituo. Hii ni muhimu sana sana kwa uhai na usalama wa tank
Mahali penye udongo wenye kiwango kikubwa cha unyevunyevu acid na alkaline ni hatari na hapafai kwa usalama na uhai wa tank
Sehemu kama hiyo na kwa aina ya matank yanayotumika ni chini ya mwaka tank halifai kwa kitu na unyevu.. Hapa ndio uchafu wa mafuta hujotokeza
Aina ya matank yetu kwenye vituo vingi ni majanga.. Chuma ni gauge ndogo.. Na rangi inayopigwa ni hizi antrust za kawaida na coating ni chache
Mafuta ni makali sana na yanakula chuma.. Inabidi chuma kipigwe rangi maalum yenye unene wa kutosha sana
Nje ya tank pia kuna rangi yake maalum kwa ajili ya kuzuia kutu
Halafu kuna hizo sensor za kutambua kutu na unyevu.. Je wafanyabiashara wa mafuta wanayajua na kuyazingatia haya?
Naendelea
 
Naendelea
Hii biashara huria imetuletea wafanyabiashara holela wanaojali zaidi mwonekano wa nje kuliko usalama wa ndani
Mamlaka nazo labda kwa uzembe tu au kutofahamu na sababu nyinginezo wamejikuta wanatoa tu vibali vya ujenzi wa vituo vya nafuta bila kupata ithibati za
Mtaji wa mhusika
Geological survey ya sehemu kinapotaka kuwekwa kituo. Hii ni muhimu sana sana kwa uhai na usalama wa tank
Mahali penye udongo wenye kiwango kikubwa cha unyevunyevu acid na alkaline ni hatari na hapafai kwa usalama na uhai wa tank
Sehemu kama hiyo na kwa aina ya matank yanayotumika ni chini ya mwaka tank halifai kwa kitu na unyevu.. Hapa ndio uchafu wa mafuta hujotokeza
Aina ya matank yetu kwenye vituo vingi ni majanga.. Chuma ni gauge ndogo.. Na rangi inayopigwa ni hizi antrust za kawaida na coating ni chache
Mafuta ni makali sana na yanakula chuma.. Inabidi chuma kipigwe rangi maalum yenye unene wa kutosha sana
Nje ya tank pia kuna rangi yake maalum kwa ajili ya kuzuia kutu
Halafu kuna hizo sensor za kutambua kutu na unyevu.. Je wa
Niliwahi kushauri kwamba....
Usiandike uzi kama upo Kitamba white, maana lazima utaonekana umekata vyombo tu...🤣
1. Hakuna kitu inaitwa "Sheri", lakini kuna kampuni ya mafuta inaitwa Shell.
2. Hakuna fuel inayokuja ikiwa chafu, lakini hii nchi inapokea kitu inaitwa maguta ghafi.
Madhara yake ni nini unapoweka mafuta machafu kwenye gari?
Gari kukosa nguvu
Gari kuwa na miss
Nossel kuziba
Plugs kupata ukungu
Baadhi ya magari kushindwa kuwaka kabisa
Haya marathon wengi hawayaoni ama hawayajui kwakuwa kwa Africa na Tanzania kwa ujumla tunatumia kwa sehemu kubwa magari ya kijapan na old models ...Uliza mateso wanayopata watu wanaotumia gari za ulaya

Hivi ndio vituo vyenye mafuta ya uhakika, masafi na salama kwa gari yako
SHELL
ENGEN
PUMA
TOTAL
GAPCO
Hawa pia ni wasambaji lakini hawawezi kukupa Mafuta hao bila kujiridhisha matank, pump na taratibu nyingine za usalama na usafi kwenye kituo chako.. Ndio maana hawana vituo vingi ila bidhaa zao ni hakika kwa asilimia 1001
 
Habari wana JF, swali langu linalenga watumiaji wa vyombo vya moto.

Je, ni kweli mafuta machafu yapo kwenye baadhi ya vituo vya mafuta au ni uzushi tuu?

Na kama ni kweli kuna mathara gani unapoweka hayo mafuta kwenye chombo cha moto?
Ukweli upo na madhara yake ni kuharibu mfumo wa gari,kuwa na miss nk
 
Hii biashara huria imetuletea wafanyabiashara holela wanaojali zaidi mwonekano wa nje kuliko usalama wa ndani
Mamlaka nazo labda kwa uzembe tu au kutofahamu na sababu nyinginezo wamejikuta wanatoa tu vibali vya ujenzi wa vituo vya nafuta bila kupata ithibati za
Mtaji wa mhusika
Geological survey ya sehemu kinapotaka kuwekwa kituo. Hii ni muhimu sana sana kwa uhai na usalama wa tank
Mahali penye udongo wenye kiwango kikubwa cha unyevunyevu acid na alkaline ni hatari na hapafai kwa usalama na uhai wa tank
Sehemu kama hiyo na kwa aina ya matank yanayotumika ni chini ya mwaka tank halifai kwa kitu na unyevu.. Hapa ndio uchafu wa mafuta hujotokeza
Aina ya matank yetu kwenye vituo vingi ni majanga.. Chuma ni gauge ndogo.. Na rangi inayopigwa ni hizi antrust za kawaida na coating ni chache
Mafuta ni makali sana na yanakula chuma.. Inabidi chuma kipigwe rangi maalum yenye unene wa kutosha sana
Nje ya tank pia kuna rangi yake maalum kwa ajili ya kuzuia kutu
Halafu kuna hizo sensor za kutambua kutu na unyevu.. Je wa

Madhara yake ni nini unapoweka mafuta machafu kwenye gari?
Gari kukosa nguvu
Gari kuwa na miss
Nossel kuziba
Plugs kupata ukungu
Baadhi ya magari kushindwa kuwaka kabisa
Haya marathon wengi hawayaoni ama hawayajui kwakuwa kwa Africa na Tanzania kwa ujumla tunatumia kwa sehemu kubwa magari ya kijapan na old models ...Uliza mateso wanayopata watu wanaotumia gari za ulaya

Hivi ndio vituo vyenye mafuta ya uhakika, masafi na salama kwa gari yako
SHELL
ENGEN
PUMA
TOTAL
GAPCO
Hawa pia ni wasambaji lakini hawawezi kukupa Mafuta hao bila kujiridhisha matank, pump na taratibu nyingine za usalama na usafi kwenye kituo chako.. Ndio maana hawana vituo vingi ila bidhaa zao ni hakika kwa asilimia 1001
Hivi BP haipo?
 
Hii biashara huria imetuletea wafanyabiashara holela wanaojali zaidi mwonekano wa nje kuliko usalama wa ndani
Mamlaka nazo labda kwa uzembe tu au kutofahamu na sababu nyinginezo wamejikuta wanatoa tu vibali vya ujenzi wa vituo vya nafuta bila kupata ithibati za
Mtaji wa mhusika
Geological survey ya sehemu kinapotaka kuwekwa kituo. Hii ni muhimu sana sana kwa uhai na usalama wa tank
Mahali penye udongo wenye kiwango kikubwa cha unyevunyevu acid na alkaline ni hatari na hapafai kwa usalama na uhai wa tank
Sehemu kama hiyo na kwa aina ya matank yanayotumika ni chini ya mwaka tank halifai kwa kitu na unyevu.. Hapa ndio uchafu wa mafuta hujotokeza
Aina ya matank yetu kwenye vituo vingi ni majanga.. Chuma ni gauge ndogo.. Na rangi inayopigwa ni hizi antrust za kawaida na coating ni chache
Mafuta ni makali sana na yanakula chuma.. Inabidi chuma kipigwe rangi maalum yenye unene wa kutosha sana
Nje ya tank pia kuna rangi yake maalum kwa ajili ya kuzuia kutu
Halafu kuna hizo sensor za kutambua kutu na unyevu.. Je wa

Madhara yake ni nini unapoweka mafuta machafu kwenye gari?
Gari kukosa nguvu
Gari kuwa na miss
Nossel kuziba
Plugs kupata ukungu
Baadhi ya magari kushindwa kuwaka kabisa
Haya marathon wengi hawayaoni ama hawayajui kwakuwa kwa Africa na Tanzania kwa ujumla tunatumia kwa sehemu kubwa magari ya kijapan na old models ...Uliza mateso wanayopata watu wanaotumia gari za ulaya

Hivi ndio vituo vyenye mafuta ya uhakika, masafi na salama kwa gari yako
SHELL
ENGEN
PUMA
TOTAL
GAPCO
Hawa pia ni wasambaji lakini hawawezi kukupa Mafuta hao bila kujiridhisha matank, pump na taratibu nyingine za usalama na usafi kwenye kituo chako.. Ndio maana hawana vituo vingi ila bidhaa zao ni hakika kwa asilimia 1001
Mkuu Mshana Jr GAPCO Kwa hapa DAR vituo vyao vipo mitaa gani maana naona Leo umetoa elimu kubwa Sana juu ya vituo vya mafuta
 
Hii biashara huria imetuletea wafanyabiashara holela wanaojali zaidi mwonekano wa nje kuliko usalama wa ndani
Mamlaka nazo labda kwa uzembe tu au kutofahamu na sababu nyinginezo wamejikuta wanatoa tu vibali vya ujenzi wa vituo vya nafuta bila kupata ithibati za
Mtaji wa mhusika
Geological survey ya sehemu kinapotaka kuwekwa kituo. Hii ni muhimu sana sana kwa uhai na usalama wa tank
Mahali penye udongo wenye kiwango kikubwa cha unyevunyevu acid na alkaline ni hatari na hapafai kwa usalama na uhai wa tank
Sehemu kama hiyo na kwa aina ya matank yanayotumika ni chini ya mwaka tank halifai kwa kitu na unyevu.. Hapa ndio uchafu wa mafuta hujotokeza
Aina ya matank yetu kwenye vituo vingi ni majanga.. Chuma ni gauge ndogo.. Na rangi inayopigwa ni hizi antrust za kawaida na coating ni chache
Mafuta ni makali sana na yanakula chuma.. Inabidi chuma kipigwe rangi maalum yenye unene wa kutosha sana
Nje ya tank pia kuna rangi yake maalum kwa ajili ya kuzuia kutu
Halafu kuna hizo sensor za kutambua kutu na unyevu.. Je wa

Madhara yake ni nini unapoweka mafuta machafu kwenye gari?
Gari kukosa nguvu
Gari kuwa na miss
Nossel kuziba
Plugs kupata ukungu
Baadhi ya magari kushindwa kuwaka kabisa
Haya marathon wengi hawayaoni ama hawayajui kwakuwa kwa Africa na Tanzania kwa ujumla tunatumia kwa sehemu kubwa magari ya kijapan na old models ...Uliza mateso wanayopata watu wanaotumia gari za ulaya

Hivi ndio vituo vyenye mafuta ya uhakika, masafi na salama kwa gari yako
SHELL
ENGEN
PUMA
TOTAL
GAPCO
Hawa pia ni wasambaji lakini hawawezi kukupa Mafuta hao bila kujiridhisha matank, pump na taratibu nyingine za usalama na usafi kwenye kituo chako.. Ndio maana hawana vituo vingi ila bidhaa zao ni hakika kwa asilimia 1001
Hao total sasa hivi wapo hadi uswazi malamba mawili
 
Huwa nazingatia Sana vituo vya kuweka mafuta.
Huwa natumia UNLEADED PETROL TU hasa kwenye vituo vya puma, total,oryx na engen
Mkuu na ujanja wangu wote uwa nikifika petrol station uwa naangalia pump isiyokua na foleni sijali unleaded au premium,hapa nilipo najichanga ninunue engine mpya,nipe somo za hayo mafuta na mafuta gani ni mazuri kati ya hayo kwa engine ya 3sge mkuu
 
Naendelea
Hii biashara huria imetuletea wafanyabiashara holela wanaojali zaidi mwonekano wa nje kuliko usalama wa ndani
Mamlaka nazo labda kwa uzembe tu au kutofahamu na sababu nyinginezo wamejikuta wanatoa tu vibali vya ujenzi wa vituo vya nafuta bila kupata ithibati za
Mtaji wa mhusika
Geological survey ya sehemu kinapotaka kuwekwa kituo. Hii ni muhimu sana sana kwa uhai na usalama wa tank
Mahali penye udongo wenye kiwango kikubwa cha unyevunyevu acid na alkaline ni hatari na hapafai kwa usalama na uhai wa tank
Sehemu kama hiyo na kwa aina ya matank yanayotumika ni chini ya mwaka tank halifai kwa kitu na unyevu.. Hapa ndio uchafu wa mafuta hujotokeza
Aina ya matank yetu kwenye vituo vingi ni majanga.. Chuma ni gauge ndogo.. Na rangi inayopigwa ni hizi antrust za kawaida na coating ni chache
Mafuta ni makali sana na yanakula chuma.. Inabidi chuma kipigwe rangi maalum yenye unene wa kutosha sana
Nje ya tank pia kuna rangi yake maalum kwa ajili ya kuzuia kutu
Halafu kuna hizo sensor za kutambua kutu na unyevu.. Je wa
Niliwahi kushauri kwamba....
Usiandike uzi kama upo Kitamba white, maana lazima utaonekana umekata vyombo tu...🤣
1. Hakuna kitu inaitwa "Sheri", lakini kuna kampuni ya mafuta inaitwa Shell.
2. Hakuna fuel inayokuja ikiwa chafu, lakini hii nchi inapokea kitu inaitwa maguta ghafi.
Madhara yake ni nini unapoweka mafuta machafu kwenye gari?
Gari kukosa nguvu
Gari kuwa na miss
Nossel kuziba
Plugs kupata ukungu
Baadhi ya magari kushindwa kuwaka kabisa
Haya marathon wengi hawayaoni ama hawayajui kwakuwa kwa Africa na Tanzania kwa ujumla tunatumia kwa sehemu kubwa magari ya kijapan na old models ...Uliza mateso wanayopata watu wanaotumia gari za ulaya

Hivi ndio vituo vyenye mafuta ya uhakika, masafi na salama kwa gari yako
SHELL
ENGEN
PUMA
TOTAL
GAPCO
Hawa pia ni wasambaji lakini hawawezi kukupa Mafuta hao bila kujiridhisha matank, pump na taratibu nyingine za usalama na usafi kwenye kituo chako.. Ndio maana hawana vituo vingi ila bidhaa zao ni hakika kwa asilimia 1001
Hivi BP haipo?
Ndio Puma ya sasa
 
Naendelea
Hii biashara huria imetuletea wafanyabiashara holela wanaojali zaidi mwonekano wa nje kuliko usalama wa ndani
Mamlaka nazo labda kwa uzembe tu au kutofahamu na sababu nyinginezo wamejikuta wanatoa tu vibali vya ujenzi wa vituo vya nafuta bila kupata ithibati za
Mtaji wa mhusika
Geological survey ya sehemu kinapotaka kuwekwa kituo. Hii ni muhimu sana sana kwa uhai na usalama wa tank
Mahali penye udongo wenye kiwango kikubwa cha unyevunyevu acid na alkaline ni hatari na hapafai kwa usalama na uhai wa tank
Sehemu kama hiyo na kwa aina ya matank yanayotumika ni chini ya mwaka tank halifai kwa kitu na unyevu.. Hapa ndio uchafu wa mafuta hujotokeza
Aina ya matank yetu kwenye vituo vingi ni majanga.. Chuma ni gauge ndogo.. Na rangi inayopigwa ni hizi antrust za kawaida na coating ni chache
Mafuta ni makali sana na yanakula chuma.. Inabidi chuma kipigwe rangi maalum yenye unene wa kutosha sana
Nje ya tank pia kuna rangi yake maalum kwa ajili ya kuzuia kutu
Halafu kuna hizo sensor za kutambua kutu na unyevu.. Je wa
Niliwahi kushauri kwamba....
Usiandike uzi kama upo Kitamba white, maana lazima utaonekana umekata vyombo tu...🤣
1. Hakuna kitu inaitwa "Sheri", lakini kuna kampuni ya mafuta inaitwa Shell.
2. Hakuna fuel inayokuja ikiwa chafu, lakini hii nchi inapokea kitu inaitwa maguta ghafi.
Madhara yake ni nini unapoweka mafuta machafu kwenye gari?
Gari kukosa nguvu
Gari kuwa na miss
Nossel kuziba
Plugs kupata ukungu
Baadhi ya magari kushindwa kuwaka kabisa
Haya marathon wengi hawayaoni ama hawayajui kwakuwa kwa Africa na Tanzania kwa ujumla tunatumia kwa sehemu kubwa magari ya kijapan na old models ...Uliza mateso wanayopata watu wanaotumia gari za ulaya

Hivi ndio vituo vyenye mafuta ya uhakika, masafi na salama kwa gari yako
SHELL
ENGEN
PUMA
TOTAL
GAPCO
Hawa pia ni wasambaji lakini hawawezi kukupa Mafuta hao bila kujiridhisha matank, pump na taratibu nyingine za usalama na usafi kwenye kituo chako.. Ndio maana hawana vituo vingi ila bidhaa zao ni hakika kwa asilimia 1001
Hivi BP haipo?
Ndio Pums
Mkuu Mshana Jr GAPCO Kwa hapa DAR vituo vyao vipo mitaa gani maana naona Leo umetoa elimu kubwa Sana juu ya vituo vya mafuta
Vipo karibia kila wilaya
Bagamoyo rd
Nyerere rd
Kawawa rd nk
Ila nimeona Kwamtogole pia kinajengwa
 
Back
Top Bottom