Hivi Sugu alipata wapi mwanamke wa namna hii?

Kwa sasa anaitwa Faiza Ally wala siyo Mrs. Mbilinyi. Katika hili nafikiri si vyema hata kidogo kumuhusisha Mheshimiwa Joseph Mbilinyi katika kadhia hii.

Haya yote yasinge tokea bila Sugu...
 
Alimtoa wapi? ndio product zetu hizo nyingi ni pasua kichwa uzungu si uzungu ulimbukeni first class oh
 
Mwe! mwe! mwe! si angejitafutia kijitoy kama cha wifi Zarinery ajikunekune wakati anasubiri Bwana Mpya ??
shame on you Mwanamke huna Stara wewe ?
 
jamani si amwambie tu zilipendwa wake wapashe kiporo kuliko hizi bange zake mbafuuu
 
ukijua unataka kuduuu na hupati mtu wa kukuduu...ujue una tatizo..anyway kwani bongo hakuna mitandao sehemu ya singles kukutana?...:focus:.............................................................................................pole Sugu.....:shocked:
 
ana access ya wanaume vizuri tu..binti nyoosha maelezo unataka Sugu aje aku duu wacha kuchezesha chezesha maneno
 
"mwanamke sura tabia tutarekebishana" ndo hayo matokeo yake
 
Reactions: waj
And she likes her own photos ..haha haha .. anamatatizo huyu. . Ame act movie gani kwani. .?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…