Wakuu kumekuchaje? Mimi ni mfuatiliaji wa kipindi cha BAMBA LIVE, kinachoendeshwa na BobCat. Kawaida ya kipindi hiki jamaa hupita mtaani na kuwauliza maswali baadhi ya watu. Maswali yenyewe anaweza kuuliza na kuweka terminology ya kiingereza ambayo ukiitafsiri unakuta ni nje kabisa na uelekeo wa swali au unakuta haina mantiki na uwiano katika swali husika.
Cha ajabu watu hujibu na kufunguka kwa maelezo ya kutosha as if wanachoelezea wanapatia. Mtu anashindwa hata kuhoji tu na kuomba kuelekezwa terminilogy ambayo hajaielewa ili aeleweshwe aweze kujibu vyema badala yake anajibu kulingana na uelekeo wa swali tu. Sa sijui watanzania tumevurugwa au shida inakuwa wapi sielewi. May be zinakuwa ni script tu. Huwa nacheka sana. Tujifunze kuelewa kabla ya kukurupuka kujibu vitu.
Wakuu kumekuchaje? Mimi nib mfuatiliaji wa kipindi cha BAMBA LIVE, kinachoendeshwa na BobCat. Kawaida ya kipindi hiki jamaa hupita mtaani na kuwauliza maswali baadhi ya watu. Maswali yenyewe anaweza kuuliza na kuweka terminology ya kiingereza ambayo ukiitafsiri unakuta ni nje kabisa na uelekeo wa swali au unakuta haina mantiki na uwiano katika swali husika.
Cha ajabu watu hujibu na kufunguka kwa maelezo ya kutosha as if wanachoelezea wanapatia. Mtu anashindwa hata kuhoji tu na kuomba kuelekezwa terminilogy ambayo hajaielewa ili aeleweshwe aweze kujibu vyema badala yake anajibu kulingana na uelekeo wa swali tu. Sa sijui watanzania tumevurugwa au shida inakuwa wapi sielewi. May be zunakuwa ni script tu. Huwa nacheka sana. Tujifunze kuelewa kabla ya kukurupuka kujibu vitu. View attachment 3204983Nimecheka sana
Watanzania katika la nyanja wana ujuaji tu hata kwa mambo wasio kua na marifa nao, wakianza kuchambua mpira wa uingereza wanawazidi wangereza wenyewe kwenye siasa za kimataifa wanazieleza hata kupita siasa za ndani......kwa ufupi watanzania wote wasomi na wasio wasomi ni marimbukeni tu
Na wkt mwingine mtu anajiona yeye ndo perfect, maisha yako yasipofanana na yeye au wao kwa matendo au mwonekano ni nongwa, kwa mfano mwanamke wako anavaa suruali wa kwake havai, suruali ishakuwa tatizo, yaani.
Wakuu kumekuchaje? Mimi nib mfuatiliaji wa kipindi cha BAMBA LIVE, kinachoendeshwa na BobCat. Kawaida ya kipindi hiki jamaa hupita mtaani na kuwauliza maswali baadhi ya watu. Maswali yenyewe anaweza kuuliza na kuweka terminology ya kiingereza ambayo ukiitafsiri unakuta ni nje kabisa na uelekeo wa swali au unakuta haina mantiki na uwiano katika swali husika.
Cha ajabu watu hujibu na kufunguka kwa maelezo ya kutosha as if wanachoelezea wanapatia. Mtu anashindwa hata kuhoji tu na kuomba kuelekezwa terminilogy ambayo hajaielewa ili aeleweshwe aweze kujibu vyema badala yake anajibu kulingana na uelekeo wa swali tu. Sa sijui watanzania tumevurugwa au shida inakuwa wapi sielewi. May be zunakuwa ni script tu. Huwa nacheka sana. Tujifunze kuelewa kabla ya kukurupuka kujibu vitu. View attachment 3204983Nimecheka sana
Ujuaji mwingi, na wengi huwa hawaelewi swali ila wanajibu kulingana na mwelekeo wa muulizaji.
Kuna clip Masanja alikua kavaa gloves halafu anauliza watu wanazungumziaje bodaboda wasiovaa gloves wawapo barabarani, na anauliza huku anaionesha ile glove yake ila wadau wanatililika wakichanganya gloves na kofia ngumu.
Mwingine alijinasibu kabisa yeye ni daktari ila bado akaingia mulemule, akatililika maelezo kibao akielezea uvaaji wa helmet na sio glove kama alivyoulizwa.
Wakuu kumekuchaje? Mimi nib mfuatiliaji wa kipindi cha BAMBA LIVE, kinachoendeshwa na BobCat. Kawaida ya kipindi hiki jamaa hupita mtaani na kuwauliza maswali baadhi ya watu. Maswali yenyewe anaweza kuuliza na kuweka terminology ya kiingereza ambayo ukiitafsiri unakuta ni nje kabisa na uelekeo wa swali au unakuta haina mantiki na uwiano katika swali husika.
Cha ajabu watu hujibu na kufunguka kwa maelezo ya kutosha as if wanachoelezea wanapatia. Mtu anashindwa hata kuhoji tu na kuomba kuelekezwa terminilogy ambayo hajaielewa ili aeleweshwe aweze kujibu vyema badala yake anajibu kulingana na uelekeo wa swali tu. Sa sijui watanzania tumevurugwa au shida inakuwa wapi sielewi. May be zunakuwa ni script tu. Huwa nacheka sana. Tujifunze kuelewa kabla ya kukurupuka kujibu vitu. View attachment 3204983Nimecheka sana
Wakuu kumekuchaje? Mimi nib mfuatiliaji wa kipindi cha BAMBA LIVE, kinachoendeshwa na BobCat. Kawaida ya kipindi hiki jamaa hupita mtaani na kuwauliza maswali baadhi ya watu. Maswali yenyewe anaweza kuuliza na kuweka terminology ya kiingereza ambayo ukiitafsiri unakuta ni nje kabisa na uelekeo wa swali au unakuta haina mantiki na uwiano katika swali husika.
Cha ajabu watu hujibu na kufunguka kwa maelezo ya kutosha as if wanachoelezea wanapatia. Mtu anashindwa hata kuhoji tu na kuomba kuelekezwa terminilogy ambayo hajaielewa ili aeleweshwe aweze kujibu vyema badala yake anajibu kulingana na uelekeo wa swali tu. Sa sijui watanzania tumevurugwa au shida inakuwa wapi sielewi. May be zunakuwa ni script tu. Huwa nacheka sana. Tujifunze kuelewa kabla ya kukurupuka kujibu vitu. View attachment 3204983Nimecheka sana
Wakuu kumekuchaje? Mimi ni mfuatiliaji wa kipindi cha BAMBA LIVE, kinachoendeshwa na BobCat. Kawaida ya kipindi hiki jamaa hupita mtaani na kuwauliza maswali baadhi ya watu. Maswali yenyewe anaweza kuuliza na kuweka terminology ya kiingereza ambayo ukiitafsiri unakuta ni nje kabisa na uelekeo wa swali au unakuta haina mantiki na uwiano katika swali husika.
Cha ajabu watu hujibu na kufunguka kwa maelezo ya kutosha as if wanachoelezea wanapatia. Mtu anashindwa hata kuhoji tu na kuomba kuelekezwa terminilogy ambayo hajaielewa ili aeleweshwe aweze kujibu vyema badala yake anajibu kulingana na uelekeo wa swali tu. Sa sijui watanzania tumevurugwa au shida inakuwa wapi sielewi. May be zinakuwa ni script tu. Huwa nacheka sana. Tujifunze kuelewa kabla ya kukurupuka kujibu vitu. View attachment 3204983Nimecheka sana
Hili tatizo linaanzia kwenye jamii hadi vyuoni,tumejengwa hivyo, mfano kuhoji jambo lolote kwa lengo lakujua unaonekana we ni kituko au hamnazo mbele ya hadhara yoyote ile hadi sasa,hii yapelekea mtu kujifanya kaelewa jambo wakati hajaelewa,,tunayaona haya hata bungeni,mbunge anasifia serikali imefanya hiki na kile nk,baadae anaunga mkono asilimia mia, wakati jimboni kwake kunashida kibao, baadae unasikia analalamika,haya yote ndo uzalisha pia uchawa wa hali ya juu,.
Wazungu wameendelea tokana na kuoji mambo critical na kupata majibu sawia,huku mtu akihoji tu anaonekana ni adui na hana uzalendo na nchi yake khaa!!!
Hili tatizo linaanzia kwenye jamii hadi vyuoni,tumejengwa hivyo, mfano kuhoji jambo lolote kwa lengo lakujua unaonekana we ni kituko au hamnazo mbele ya hadhara yoyote ile hadi sasa,hii yapelekea mtu kujifanya kaelewa jambo wakati hajaelewa,,tunayaona haya hata bungeni,mbunge anasifia serikali imefanya hiki na kile nk,baadae anaunga mkono asilimia mia, wakati jimboni kwake kunashida kibao, baadae unasikia analalamika,haya yote ndo uzalisha pia uchawa wa hali ya juu,.
Wazungu wameendelea tokana na kuoji mambo critical na kupata majibu sawia,huku mtu akihoji tu anaonekana ni adui na hana uzalendo na nchi yake khaa!!!