mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,735
Dunia kadili siku zinavokwenda inafikirisha sana.
Vita ni siri. Kumiliki silaha ambayo ikimdhuru adui ushindi unapikana ni jambo LA Muhimu. Na ni muhimu zaidi adui akiwa hajui ukweli wrote ikiwemo
Idadi
Uwezo halisi
Muda wa kumfikia.
Etc
Kinachonishangaza.
Katika media ambazo Nazi sio za kuhaminika sana tunaaminishwa
Nani anaNuclear kadhaa, huyu anahypasonic huyu hana, huyu anazo lakini hakuna.
Wakuu uhakiki wa hizo taarifa za ndaninkabisa za kijeshi huwa watu wanazihakiki vipi uhalali wake.?
Vita ni siri. Kumiliki silaha ambayo ikimdhuru adui ushindi unapikana ni jambo LA Muhimu. Na ni muhimu zaidi adui akiwa hajui ukweli wrote ikiwemo
Idadi
Uwezo halisi
Muda wa kumfikia.
Etc
Kinachonishangaza.
Katika media ambazo Nazi sio za kuhaminika sana tunaaminishwa
Nani anaNuclear kadhaa, huyu anahypasonic huyu hana, huyu anazo lakini hakuna.
Wakuu uhakiki wa hizo taarifa za ndaninkabisa za kijeshi huwa watu wanazihakiki vipi uhalali wake.?