Sambinyakwe kitololo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2022
- 2,419
- 2,940
Nazidi kuamini baadhi ya maneno kuwa hapa Kuna watu wachache wanahujumu taifa kwa faida zao wenyewe
Inakua haina tofauti na kauli ya jamaa mmoja aliewahi sema mo atapatikana siku flani na kweli akapatikana
Hawa ndugu zetu tanesco kwa kweli wanatutesa Sana nawaza huu umeme ambao haukatiki na wamesema hawatakata wameutoa wapi ..inamaana wanaamua tu kata kwa amri ya watu flani
Watimize mipango yao ikiwa umeme unatosha
Inakua haina tofauti na kauli ya jamaa mmoja aliewahi sema mo atapatikana siku flani na kweli akapatikana
Hawa ndugu zetu tanesco kwa kweli wanatutesa Sana nawaza huu umeme ambao haukatiki na wamesema hawatakata wameutoa wapi ..inamaana wanaamua tu kata kwa amri ya watu flani
Watimize mipango yao ikiwa umeme unatosha