Hivi Tanzania hakuna uzazi wa mpango wa wanaume?

Hivi Tanzania hakuna uzazi wa mpango wa wanaume?

Grena

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
656
Reaction score
1,553
Habari zenu wakuu,

Kuna visa nimekutana na wakaka ambao wamezaa Watoto Wengi na hawahitaji Watoto zaidi mpaka ikabidi nijiulize hili. [emoji23][emoji23]

Huyu wa kwanza hajaoa anamiaka 30, anawatoto wanne kila mmoja na Mama yake, Ukipiga nae story atakwambia jinsi gani anajuta kuwa na Watoto Wengi kwa umri huo na hataki wengine kabisa lakini hajui afanyaje Maana sio mfuasi wa kinga.

Wapili yeye nae similar case hajaoa anawatoto watatu kila mmoja na Mama yake, Yeye nae ndo hataki kabisa kusikia kuhusu Watoto kwa Sasa labda baadae Sana. Inshort majamaa yanateseka Halafu Kama vile kila baada ya muda fulani lazima wanawake wanaodate nao wafyatue bila makubaliano.

Kwenye reality show ya mwanamieleka John Cena yeye aliweka wazi kaweka uzazi wa mpango wa wanaume sababu hataki kupata Watoto kwa Sasa.

Hivi jamani bongo hapa hakuna uzazi wa mpango wa wanaume Kama kwa wenzetu huko. Maana Kuna watu wanateseka na stress, Hawataki kuwa Father of all nations.
 
Nani atoe kende lake
[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu siyo hivyo. John Cena wakati anaiongelea alisema anaweza kutoa anytime akitaka kupata mtoto. Na uanaume wake haujapungua chochote
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu siyo hivyo. John Cena wakati anaiongelea alisema anaweza kutoa anytime akitaka kupata mtoto. Na uanaume wake haujapungua chochote
44 bado anawaza kufunga uzazi?
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu siyo hivyo. John Cena wakati anaiongelea alisema anaweza kutoa anytime akitaka kupata mtoto. Na uanaume wake haujapungua chochote
Uzazi wangu wa mpango Ni kumwaga nje
Hayo ya John cena hapana
 
44 bado anawaza kufunga uzazi?
Hiyo reality show Ni Kama ya miaka 10 iliyopita. Alisema Yuko busy Sana na Kazi plus kusafiri Sana, hataki kupata Watoto kwa wakati ule. Maana hatakuwa kwenye maisha ya Watoto wake.
 
Uzazi wangu wa mpango Ni kumwaga nje
Hayo ya John cena hapana
Kumwaga nje au withdrawal method sio safe Sana kwenye kuzuia mimba. Sababu kabla ya mwanaume kucum kunakuwaga na precum yani ule Ute unaotoka, Huwa unakuwa na sperms.

Mwanamke anaweza kupata mimba kupitia ule Ute hata Kama umemwaga nje.
 
Hiyo reality show Ni Kama ya miaka 10 iliyopita. Alisema Yuko busy Sana na Kazi plus kusafiri Sana, hataki kupata Watoto kwa wakati ule. Maana hatakuwa kwenye maisha ya Watoto wake.

Mpaka sana bado hajapata mtoto.
 
Kwa mpalange ndo suluhisho la uzazi wa mpango
 
Back
Top Bottom