Hivi Tanzania hatuna succession plan ya rasilimali watu? Mtu ana miaka 70 bado anateuliwa tena jamani...

Hivi Tanzania hatuna succession plan ya rasilimali watu? Mtu ana miaka 70 bado anateuliwa tena jamani...

SOPINTO

Senior Member
Joined
Oct 19, 2020
Posts
155
Reaction score
387
Prof Iddris Kikula ameteuliwa tena kuwa mwenyekiti wa Tume ya Madini kwa sasa Prof Kikula anamiaka 78 maana yake katika kipindi hichi cha miaka mitatu atamaliza mkataba akiwa na umri wa miaka 81 , sasa tujiulize ina maana Tanzania hatuna succession plan mpaka tumteue mzee wa miaka 78 kusimamia taasisi nyeti kama hiyo? hawa wanaosoma , wataalam waliopo je hawafai ... sikosoi uteuzi ila najiuliza hatuna succession plan ya rasilimali watu?

Kikula.JPG


176532920_1204458060007030_6752064913645896651_n.jpg
 
Mwendazake atleast alikuwa anateua vijana, huyu bado hajazoea ofisi.
 
Joe Biden ana miaka mingapi?Spika wa bunge wa Marekani ana miaka 81..afu ujuzi hauzeeki
Kabyemela 95 , kumbuka hii sio post ya kisiasa , kwa mwanasiasa sawa anaweza kushika nafasi hata akiwa na miaka 100
 
Mwendazake atleast alikuwa anateua vijana, huyu bado hajazoea ofisi.
We mjin** huyu Prof mwanzoni aliteuliwa na nani?huoni kama ameteuliwa kwa kipindi cha pili baada ya awamu ya kwanza kuisha?au unaandika kutafuta sifa
 
Waliteuliwa wakaambiwa na cha kuandika kwenye report yao kumfurahisha dikteta
Teuzi zetu nyingi hazijali performance ni kickbacks tu, favors za kisiasa, connections , kujuana etc.
 
Kabyemela 95 , kumbuka hii sio post ya kisiasa , kwa mwanasiasa sawa anaweza kushika nafasi hata akiwa na miak
Ndo maana nikasema ujuzi hauzeeki..Unajua Anthony Fauci Director of Infectious Diseases ,taasisi iliyosimamia covid response Marekani and indirectly Dunia nzima, ana miaka mingapi?79 going 80....hizi sio kazi za utingo kwamba itatumika nguvu nyingi,issue ni akili kufanya kazi
Kabyemela 95 , kumbuka hii sio post ya kisiasa , kwa mwanasiasa sawa anaweza kushika nafasi hata akiwa na miaka 100
 
Joe Biden ana miaka mingapi?Spika wa bunge wa Marekani ana miaka 81..afu ujuzi hauzeeki
Unaulizwa Tanzania hatuna succession plan, unataja akina Bidden na Pellosi! Unajua Bidden na Pellosi wamepatikanaje?

Mleta uzi anazungumzia Tanzania hizi nafasi za teuzi kwa mamlaka ya Rais, kwa nini katika watanzania milioni 60 na zaidi iwe a 78 years old man!
 
Kama amezaliwa 1951, miaka 78 hajafikisha kama ulivyosema.

Ana miaka 70/71
 
Back
Top Bottom