Hivi Tanzania hatuwezi?

dimaa

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
4,174
Reaction score
5,658
Wassalam wakuu,


Hivi Tanzania hatuwezi kutibia watu kwa ustadi mzuri kabisa?

Unashangaa kila mwanasiasa ama mtu mwenye cheo kikubwa unaskia anaenda nje ya nchi kwa matibabu zaidi.


Mfano mzuri ni kwa tundu lisu kasafirishwa leo majira ya saasita usiku kwa matibabu zaidi,katika hospitali ya agakhan mjini Nairobi.


Kwani hospital za Tanzania ama madaktari wa Tanzania hawana viwango vya kuwatibu watu maarufu?


Sijawahi skia mtu kutoka kenya kaja kutibiwa tanzani.


Inaonekana tanzania kila kitu ipo nyuma!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu tunao madaktari wakutosha. Ila Chadema walikataa na mimi nawaunga mkono kwa sababu za kiusalama. Wamehofia usalama wake bado uko mashakani na ndio maana kapelekwa huko
 
Matumiz mabaya ya pesa mkuu na kujiona wao ni zaid ya binanadam wa kawaida hii ilikuwepo toka enz za mkapa naona magufur kaipunguza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulitaka atibiwe hapa ili mission ya waliotaka kumuua ikamilike?
Try to read between the lines.....

-Domhome-
 
Mkuu tunao madaktari wakutosha. Ila Chadema walikataa na mimi nawaunga mkono kwa sababu za kiusalama. Wamehofia usalama wake bado uko mashakani na ndio maana kapelekwa huko
Lakini mkuu sijawahi skia mgonjwa yeyote kutoka nje aje kutibiwa Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
inategemea ugonjwa na suala la mhusika wakati huo.
huwezi fananisha ishu ya TL na ishu kama ya Kinana au Ndugai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…