NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 14,267
- 14,890
Kila mara namuona Mama Samia akitumia ndege ya Air Tanzania kuzulu, tuseme hivi Tanzania hamna presidential plane ama vipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo maana nasema unatatizo kichwaniUtaheshimuje kikaragosi
Huwezi kumchukia mpaka marehemuUtaheshimuje kikaragosi
Kwanini unalazimisha ampende marehemu?Huwezi kumchukia mpaka marehemu
Basi anyamaze asimseme vibaya.Asiongee hadharani.Kwanini unalazimisha ampende marehemu?
Ukimpenda we we pekee yako inatosha
Kuna ndege alinunua marehemu Mkapa (RIP) wakati huo Mramba akiwa waziri wa fedha,mzee Mramba alitoa kauli tata eti (watanzania watakula majani lakini ndege ya rais itanunuliwa). Mpaka JK alikuwa anaitumia. Humu kwenye awamu ya 5 ikawa haionekani,au marehemu hakuiamini na huyu haiamini, ila ilikuwa ndege classic , ni jet nzuri tu. Au 20years old ni mtuumba rais hawezi kuitumia? Kama haijafa ipo.Tutamnunulia Mwaka huu, ngoja afungue biashara vijawa wakalete pesa,Anastahili
Kwa nini asisemwe vibaya na hadharani? Jambo ambalo ni vigumu kulizuia.Basi anyamaze asimseme vibaya.Asiongee hadharani.
Mbona hiyo jiwe aliwapa ATCL hamkumbuki ilipigwaga hata rangi na kuwekewa nembo ya ATCLKuna ndege alinunua marehemu Mkapa (RIP) wakati huo Mramba akiwa waziri wa fedha,mzee Mramba alitoa kauli tata eti (watanzania watakula majani lakini ndege ya rais itanunuliwa). Mpaka JK alikuwa anaitumia. Humu kwenye awamu ya 5 ikawa haionekani,au marehemu hakuiamini na huyu haiamini, ila ilikuwa ndege classic , ni jet nzuri tu. Au 20years old ni mtuumba rais hawezi kuitumia? Kama haijafa ipo.
Kwa nini asichukiwe kaua kaka yangu unataka nimpende .Huwezi kumchukia mpaka marehemu
Ile ndege hata mimi siwezi kupanda aiseee ukikaona kamepaa kamejichokea kanaonekana mkwecheKuna ndege alinunua marehemu Mkapa (RIP) wakati huo Mramba akiwa waziri wa fedha,mzee Mramba alitoa kauli tata eti (watanzania watakula majani lakini ndege ya rais itanunuliwa). Mpaka JK alikuwa anaitumia. Humu kwenye awamu ya 5 ikawa haionekani,au marehemu hakuiamini na huyu haiamini, ila ilikuwa ndege classic , ni jet nzuri tu. Au 20years old ni mtuumba rais hawezi kuitumia? Kama haijafa ipo.
Haya bwana poleniKwa nini asichukiwe kaua kaka yangu unataka nimpende .
We jamaa si leo umejua kunichekesha[emoji23][emoji23]ndege ikichoka mi mwnywe huaga sina hamu nayoIle ndege hata mimi siwezi kupanda aiseee ukikaona kamepaa kamejichokea kanaonekana mkweche
Wamuache mama ajimwage kwa Boeing kwa raha zake..au unasemaje!We jamaa si leo umejua kunichekesha[emoji23][emoji23]ndege ikichoka mi mwnywe huaga sina hamu nayo
Hiyo Gulf-Stream ipo na Mama Samia kaitumia sana akiwa makamu wa RaisKuna ndege alinunua marehemu Mkapa (RIP) wakati huo Mramba akiwa waziri wa fedha,mzee Mramba alitoa kauli tata eti (watanzania watakula majani lakini ndege ya rais itanunuliwa). Mpaka JK alikuwa anaitumia. Humu kwenye awamu ya 5 ikawa haionekani,au marehemu hakuiamini na huyu haiamini, ila ilikuwa ndege classic , ni jet nzuri tu. Au 20years old ni mtuumba rais hawezi kuitumia? Kama haijafa ipo.
Hapana sio ile Gulf-Stream ndio kawapa ATCL, Aliwapa lile Fokker ambalo juzi Majaliwa alienda nalo kutembelea kaburi ChatoMbona hiyo jiwe aliwapa ATCL hamkumbuki ilipigwaga hata rangi na kuwekewa nembo ya ATCL