Gulf-Stream aliyonunua Mkapa haijachoka nyie, unaongelea lile FokkerIle ndege hata mimi siwezi kupanda aiseee ukikaona kamepaa kamejichokea kanaonekana mkweche
Sema poleni watanzania maana kaua wengi sana ,fikiria bensaanane angekuwa mwanao wa kumzaa unge tamka tusimchukie marehemu ,kafilisi watu huyu sanaHaya bwana poleni
The late mwendazake made the presidential jet part of ATCL and started using the commercial ATCL Airbus plane for his own and so like her predecessor Samia does not and hasn't yet thought outside the box otherwiseKila mara namuona Mama Samia akitumia ndege ya Air Tanzania kuzulu, tuseme hivi Tanzania hamna presidential plane ama vipi?
Mbona ovyo ovyo hivi?1. 5H-ONE ( Gulfstream)
View attachment 1775402
View attachment 1775403
2. Fokker
View attachment 1775405
View attachment 1775406
Hiyo Gulf-Stream ipo na Mama Samia kaitumia sana akiwa makamu wa Rais
[emoji1787]Kwani hiyo Air Tanzania ni ndege ya shirika la Kenya?
Wenae unaongea utumbo gani? Nani hakuiamini wakati hii airbus ni ya 2019? Unataka kusema kuanzia 2015 kwenye campaigns Magufuli alikua anatumia ungo?Kuna ndege alinunua marehemu Mkapa (RIP) wakati huo Mramba akiwa waziri wa fedha,mzee Mramba alitoa kauli tata eti (watanzania watakula majani lakini ndege ya rais itanunuliwa). Mpaka JK alikuwa anaitumia. Humu kwenye awamu ya 5 ikawa haionekani,au marehemu hakuiamini na huyu haiamini, ila ilikuwa ndege classic , ni jet nzuri tu. Au 20years old ni mtuumba rais hawezi kuitumia? Kama haijafa ipo.
Wewe ni kichaaMbona hiyo jiwe aliwapa ATCL hamkumbuki ilipigwaga hata rangi na kuwekewa nembo ya ATCL
Sasa ile ya Rais wenu toka babake akiwa RaisWe jamaa si leo umejua kunichekesha[emoji23][emoji23]ndege ikichoka mi mwnywe huaga sina hamu nayo
Utakuwa huzijui ndege wewe, utasemaje G550 imechoka? Ndege anayotumia Kenyatta Fokker 70 er ndiyo imechoka. Acha ujuwaji kwa vitu usivyovifahamu..Mbona ovyo ovyo hivi?
Ninyi nyumbu mnapenda conspiracy, Ben saanane sidhani hata kama magu alishasikia kama yupo binadamu amepewa jina la hifadhi ya taifaSema poleni watanzania maana kaua wengi sana ,fikiria bensaanane angekuwa mwanao wa kumzaa unge tamka tusimchukie marehemu ,kafilisi watu huyu sana
Wewe ni kichaaThe late mwendazake made the presidential jet part of ATCL and started using the commercial ATCL Airbus plane for his own and so like her predecessor Samia does not and hasn't yet thought outside the box otherwise
Ushauri wako ungemfaa rais wako Uhuru Kenyatta, maana anatumia ndege iliyochoka haswa, iliyoachwa kuundwa toka 1997.We jamaa si leo umejua kunichekesha[emoji23][emoji23]ndege ikichoka mi mwnywe huaga sina hamu nayo
Hili lenu waga wanalifunga mpaka na makomeo with at least 10 heavyweight manpower some must be militiamen π π πMbona ovyo ovyo hivi?
Wewe ni kichaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hili lenu waga wanalifunga mpaka na makomeo with at least 10 heavyweight manpower some must be militiamen [emoji28][emoji28][emoji28]
View attachment 1775683
Wewe ni kichaa