Hivi Tanzania hawana ndege ya Rais?

si Hayati aliipiga chata za airtanzania au nakumbuka vibaya >?
 
Kila mara namuona Mama Samia akitumia ndege ya Air Tanzania kuzulu, tuseme hivi Tanzania hamna presidential plane ama vipi?

The late mwendazake made the presidential jet part of ATCL and started using the commercial ATCL Airbus plane for his own and so like her predecessor Samia does not and hasn't yet thought outside the box otherwise
 
Wenae unaongea utumbo gani? Nani hakuiamini wakati hii airbus ni ya 2019? Unataka kusema kuanzia 2015 kwenye campaigns Magufuli alikua anatumia ungo?
 
Sema poleni watanzania maana kaua wengi sana ,fikiria bensaanane angekuwa mwanao wa kumzaa unge tamka tusimchukie marehemu ,kafilisi watu huyu sana
Ninyi nyumbu mnapenda conspiracy, Ben saanane sidhani hata kama magu alishasikia kama yupo binadamu amepewa jina la hifadhi ya taifa

For what? Huyo saanane hata mimi simjui mpaka kesho, hivi alikua nani? Balozi au House girl wa mbowe? Kwanza me au KE?
 
The late mwendazake made the presidential jet part of ATCL and started using the commercial ATCL Airbus plane for his own and so like her predecessor Samia does not and hasn't yet thought outside the box otherwise
Wewe ni kichaa
 
Juzi kati niliona makamu wa rais ikiitumia,nadhani hata majaliwa chato alienda nayo hiyo last week
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…