KENPAULITE
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 3,511
- 3,313
Hakuna ndege imechoka hapo, it must service its fulltime, ndio ikue retired, aerospace company ikiclose shop now we retire the aircraft?Ushauri wako ungemfaa rais wako Uhuru Kenyatta, maana anatumia ndege iliyochoka haswa, iliyoachwa kuundwa toka 1997.
Toka lini hizi ndege zilikua commercialised?Kwani unataka kusemaje, maana naona unascratch scratch kama CD mbovu
Hiyo pamoja na foker plane na zingine sio presidential plane tena mzeebaba, iyo inabeba high profile visitors kama ambassadors etc na haiko chini ya ikulu tena correct me if am wrong hata ukitafuta ile hotuba ya mwendazake alidirect otherwise. Nashika shilingi bado correct me if am wrong
Hili linalowaaibisha kila Leo na lenyewe mnaita ndege? Labda popo sababu halieleweki kama ni ndege au excavatorHakuna ndege imechoka hapo, it must service its fulltime, ndio ikue retired, aerospace company ikiclose shop now we retire the aircraft?
Ndege pekee iliokua kwenye presidential Fleet Magufuli alioitoa kwa ATCL ni hii, na bado pia wanatumia PM na MwinyiHiyo pamoja na foker plane na zingine sio presidential plane tena mzeebaba, iyo inabeba high profile visitors kama ambassadors etc na haiko chini ya ikulu tena correct me if am wrong hata ukitafuta ile hotuba ya mwendazake alidirect otherwise. Nashika shilingi bado correct me if am wrong
Hiyo ndege anayotumia Kenyatta ni aibu, nunueni ndege mpya.Hakuna ndege imechoka hapo, it must service its fulltime, ndio ikue retired, aerospace company ikiclose shop now we retire the aircraft?
Kidege kama G550 ni cha watu binafsi, sio Rais anayetembea na delegation ya viongozi na wafanyabiashara mashuhuri kila anapokwenda.Utakuwa huzijui ndege wewe, utasemaje G550 imechoka? Ndege anayotumia Kenyatta Fokker 70 er ndiyo imechoka. Acha ujuwaji kwa vitu usivyovifahamu..
Give it 4 more years, si pia nyinyi mkona fokker f28 and 50, retire them tooHiyo ndege anayotumia Kenyatta ni aibu, nunueni ndege mpya.
Yawezekana ww kichaa zaidi make hujui mambo ya kawaida snWewe ni kichaa
Itakuwa vizuri mkifanya hivyo.Give it 4 more years,
Hiyo Fokker 50 teyari walipewa ATCL, Fokker 28 haitumiwi na Rais wa jamhuri ya muungano.si pia nyinyi mkona fokker f28 and 50, retire them too
Delegation kubwa kwa nchi zetu za kiafrika ni njia tuu za kula pesa za serikali.Kidege kama G550 ni cha watu binafsi, sio Rais anayetembea na delegation ya viongozi na wafanyabiashara mashuhuri kila anapokwenda.
But zinatumika badoItakuwa vizuri mkifanya hivyo.
Hiyo Fokker 50 teyari walipewa ATCL, Fokker 28 haitumiwi na Rais wa jamhuri ya muungano.
Magufuli ni nani ?KISIWAGA
Hujielewi muheshimu Magufuli
Weee alipotea siku 2 baada ya kuja na ushahidi konki kuwa magu hana phd na alilalamika wiki kabla kuwa wasiojulikana waliopotea baada kufilia mbali mbwa.unataka nikuletee ushahid wa phd fake?alikuwa anamjua hadi mulaga ndo asimjue chuma bensaanane mungu afariji familia yakeNinyi nyumbu mnapenda conspiracy, Ben saanane sidhani hata kama magu alishasikia kama yupo binadamu amepewa jina la hifadhi ya taifa
For what? Huyo saanane hata mimi simjui mpaka kesho, hivi alikua nani? Balozi au House girl wa mbowe? Kwanza me au KE?
Ile inakula maitanance ya hali juu[emoji23][emoji23]Ushauri wako ungemfaa rais wako Uhuru Kenyatta, maana anatumia ndege iliyochoka haswa, iliyoachwa kuundwa toka 1997.
Kuna ndege mbili za Rais. Naona mama anapendelea zaidi kutumia hizo za ATCL ikiwa ni sehemu ya kulitangaza shirika letu pia.Kila mara namuona Mama Samia akitumia ndege ya Air Tanzania kuzulu, tuseme hivi Tanzania hamna presidential plane ama vipi?
Ile aliyowapa ni ya zamani zaidi, zilikuwepo ndege mbili za Rais. Ile iliyonunuliwa kipindi cha Mkapa bado ipo na ni maalum kwa safari za Rais japo naona haitumiki sana tangu ziliponunuliwa ndege za ATCLMbona hiyo jiwe aliwapa ATCL hamkumbuki ilipigwaga hata rangi na kuwekewa nembo ya ATCL
Yes, aliwapa Fokker, Gulf Stream bado ipo kwa matumizi ya Ofisi ya Rais.Hapana sio ile Gulf-Stream ndio kawapa ATCL, Aliwapa lile Fokker ambalo juzi Majaliwa alienda nalo kutembelea kaburi Chato