Hivi Tanzania hawana ndege ya Rais?

Mnayosema aliwapa ATCL nadhani ni Ile Fokker, hiyo Gulf Stream ipo na huwa anaitumia it's one of the best aeroplanes na ikila mafuta inachapa mwendo angani hadi hata marekani bila shida mnaongeza wese tu. Ila inaiwezo mzuri sana wa kukaa angani hata masaa nane na zaidi .

Nadhani kulingana na delegation aliyokuwa nayo labda wanaopanga safari ya mkuu labda waliona heri watumie ndege kubwa maana Ile ya Rais haibebi watu wengi kiasi hardly watu name unakuta.

Lakini sio ajabu maana hata Waziri wa Mambo ya nje wa China alipokuja kwetu alitumia ndege ya China hata Uhuru huwa anatumia KQ wakati mwingine pamoja ana ndege ya Rais.
 
Ila ana ndege yake Rasmi, sio kila mara anatumia hiyo KQ.
Na hata huku kuna ndege ndogo ya rais tena mtambo haswa, sasa ww hujui kamaa hapo kenya alifika na wajumbe wengi watendaji kadhaa wa serikal hivyo isinge kuwa rahisi kutumia ndege ndogo
 
Airforce One ya Marekani ipo tangu miaka ya 1970s hadi leo. Ile helicopter Marine One ukiiona hata sasa unaona kabisa imezeeka. Ndege zinakaa miaka 40 kwa uzuri kabisa
Hawajui hawa. Kando na kuwa, ndege maalum ya Rais haitumiki Sana kama ya shirika kwa hivo inaweza kaa miaka 50 yet Ina flight hours kidogo Kuliko ya shirika iliyokaa miaka Tano pekee.
 
Hawajui hawa. Kando na kuwa, ndege maalum ya Rais haitumiki Sana kama ya shirika kwa hivo inaweza kaa miaka 50 yet Ina flight hours kidogo Kuliko ya shirika iliyokaa miaka Tano pekee.
Baada ya maelezo haya uliyoyatoa, ni muda mwafaka wa kutuonesha Ndege ya Rais wa Kunyaland.
 
Baada ya maelezo haya uliyoyatoa, ni muda mwafaka wa kutuonesha Ndege ya Rais wa Kunyaland.

Hii thread ifungwe tu, Mtu anaulizia vitu vya watu wakati ya kwao mlango wanafunga na Komea Kwa nje ? [emoji23]



 
But thats a very lame reason you've used even though[emoji23]

No, [emoji23] The thread should be closed. Tanzania has more than 4 Planes for the President and other VIP officials. And even the whole ATCL fleet belongs to the Government , They have a lot of planes at their disposal.
 
No, [emoji23] The thread should be closed. Tanzania has more than 4 Planes fir the President and VIP officials. And even the whole ATCL fleet belongs to the Government , They have a lot of planes at their disposal.
I think the best question would have been did your government sell the gulfstream?
 
See this another ignorant emotional incompetent fool, which presidential jet you are referring here. ?
Who is the fool now you imbasel, why bother writing your foolishness in response to a fool such feeble head. State the obvious if you can't shut your fagot ass up boy
 
Sasa natron, hiyo presidential jet iko wapi na inafanya nn? Maana inaonekana unajua!!!!?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Huo ushahidi aliuweka wapi? Kwanza hujanijuza kama alikua mwanamama au mzee?
 
Sure novyofahamu ndo ivo, izo shughuli za ikulu ndo izo kubeba V. I. Ps kama ambassadors na wengine lakini kwa sasa raisi anatu na fokker ATCL na zinginezo. Sasa na hii intended kuwa commercial lakini cha ajabu ndo ivo anatumia rais sawa labda kwasababu ana convoy kubwa but watafute ingine au ibadilishwe rangi iwe tofauti. Just don't get it sisiem is full of shity issues na jamaa ndo aliengineer haya mambo
Mwenda aliwapa ATCL ile Fokker ya zamani lkn Gulf stream iliyonunuliwa wakati wa Mkapa bado ipo na inatumiwa kwa matumizi ya ofisi ya Rais.
 
unamlinganisha nyerere,mandera,che na upuuzi wa kuitwa mdude au huyo jamaa mwingine!!!!

kama hao watajwa wangekosa adabu kiasi hicho tusingepata uhuru miaka hiyo.

hoja zina nguvu ya kuangusha majabali.
Na wazungu walikuwa wanasema upuuzi wa nyerere na mandela .nyerere alitekwa mara nyingi aliviziwa sana .Mbona sion wapinzani kenya wakitemwa wala kupotea?
 
Na wazungu walikuwa wanasema upuuzi wa nyerere na mandela .nyerere alitekwa mara nyingi aliviziwa sana .Mbona sion wapinzani kenya wakitemwa wala kupotea?
unadhani kwanini alitekwa na kuachiwa bila kidhurika??

harakati na maisha personal ya mtu haviendani,kwanza utapoteza kani ya kwenda mbele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…