BigBro
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 3,585
- 11,601
Huwa najiuliza marais wa Africa ikiwemo Tanzania hatuna uhusiano na nchi za Latin America?(America Kusini). Nakumbuka Jakaya Kikwete aliwahi tembelea Brazil lakini sio nchi kama Paraguay, Colombia, Argentina, Ecuador, Venezuela, Chile na nyinginezo.
Na pia marais wa huko ni kama hawana time na Africa. Tatizo nini? Ubalozi tunao pale Brazil ambako nimewahi kufika.
Nilifika Colombia wanaijua South Africa zaidi, Tanzania wengi wao hawaijui angalau Kenya na Rwanda wanaijua. Marekani ndio kama katawala magari yao mengi yanatoka USA kama ilivyo Mashariki ya kati kwa nchi ya Lebanon kukuta Toyota ni nadra sana. Shida ni nini?
Na pia marais wa huko ni kama hawana time na Africa. Tatizo nini? Ubalozi tunao pale Brazil ambako nimewahi kufika.
Nilifika Colombia wanaijua South Africa zaidi, Tanzania wengi wao hawaijui angalau Kenya na Rwanda wanaijua. Marekani ndio kama katawala magari yao mengi yanatoka USA kama ilivyo Mashariki ya kati kwa nchi ya Lebanon kukuta Toyota ni nadra sana. Shida ni nini?