Hivi Tanzania tuna muziki ama copy za muziki wa wengine?

Hivi Tanzania tuna muziki ama copy za muziki wa wengine?

Yaani inakera sana kuona media zinavyosifia eti muziki wetu umekua wakati hatuna muziki wa kujivunia hadi leo. Wasanii wetu wenye majina makubwa karibu wote kazi yao ni kuangalia muziki unaotrend sehemu nyingine za Africa na kuuleta kwetu kuuwekea maneno ya kiswahili, yaani wanatambaa na upepo.

Mara waige wanaija, mara masebene, na sasa hivi ndo kero kabisa karibu kila msanii anataka aimbe Amapiano. Ukiacha muziki hata dance hawajiangaishi kucreate zao, kazi yao kucopy wanigeria na wasouth.

Tumeshindwa hata kuikuza Singeli uwe muziki wetu?

Ni aibu kujilinganisha na watu tunaowacopy, kwa style hii tutaendelea kusubiri sana

S
Umeongea point sana na ukweli mtupu. Tanzania hatuna wasanii wa ukweli si Diamond wala Kiba wote ni fake tu.
 
Umeongea point sana na ukweli mtupu. Tanzania hatuna wasanii wa ukweli si Diamond wala Kiba wote ni fake tu.
Kiba hakoseagi, ila ile album angetoa Sadala, ungewasikia watangazaji na machawa ".....wasanii siku hizi hawafanyi bongo fleva.......wanaiga biti za kinaija......sijui nininini.......".

Album 80% ya nyimbo biti za kinaija.Kibongo bongo wanaojitahidi kukomaa kufanya mziki wenye Id ya Kitanzania Marioo na Mbosso.
 
Yaani inakera sana kuona media zinavyosifia eti muziki wetu umekua wakati hatuna muziki wa kujivunia hadi leo. Wasanii wetu wenye majina makubwa karibu wote kazi yao ni kuangalia muziki unaotrend sehemu nyingine za Africa na kuuleta kwetu kuuwekea maneno ya kiswahili, yaani wanatambaa na upepo.

Mara waige wanaija, mara masebene, na sasa hivi ndo kero kabisa karibu kila msanii anataka aimbe Amapiano. Ukiacha muziki hata dance hawajiangaishi kucreate zao, kazi yao kucopy wanigeria na wasouth.

Tumeshindwa hata kuikuza Singeli uwe muziki wetu?

Ni aibu kujilinganisha na watu tunaowacopy, kwa style hii tutaendelea kusubiri sana

S
Tuekopi hadi WIMBO WA TAIFA itakuwa mziki??
 
MIMI SIJAPINGA UWEPO WA MCHIRIKU. NINACHOPINGA NI ILE DHANA KWAMBA SINGELI IMETOKANA NA MCHIRIKU. SINGELI IMEZALIWA NA TAARABU. NIMEANZA KUUJUA MCHIRIKU MIAKA YA 80's. BENDI KAMA TOPAZ, URAIBU, GARI KUBWA, ATOMIC, ENZI HIZO JAKI SIMELA NA DOGO MFAUME HAWAJAZALIWA. MPOGO ALIKUWA ANAIMBA VANGA. MDUNDIKO NA MIGOMA MINGINE YA KIUTAMADUNI


Ngoja yuwekane sawa kwenye hili. Kwa mtazamo wangu, Modern taarabu ndio iliyoanza kuchota vionjo vya Mchiriku kabla Singeli haijaanza. Rejea kwenye Taarabu za enzi hizo kama zinaendana na Msaga Sumu.
 
Back
Top Bottom