Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Naomba kujuzwa hii TBC inayoendeshwa kwa Ruzuku zetu ni lini imebadilika kutokuwa Free to Air ?
Kama ni issue za Word Cup huu ndio utapeli kwamba watu wanunue vifurushi ili waone mama anaupiga mwingi ?, Huyu Nape na hawa TCRA wameshindwa Kazi ? au watafuatilia na kuleta majibu baada ya Kombe la Dunia Kuisha, na hapo ndio itarudi kuwa Free to Air ?
Sina neno kama sio Free to Air, basi iache kuchukua Ruzuku, sio vema Ruzuku wachukue alafu kwenye vingamuzi vingine isifanye kazi; Kama vipi wawalipe hivyo Vingamuzi ili wawaonyeshe kwenye hii la World Cup
Kama ni issue za Word Cup huu ndio utapeli kwamba watu wanunue vifurushi ili waone mama anaupiga mwingi ?, Huyu Nape na hawa TCRA wameshindwa Kazi ? au watafuatilia na kuleta majibu baada ya Kombe la Dunia Kuisha, na hapo ndio itarudi kuwa Free to Air ?
Sina neno kama sio Free to Air, basi iache kuchukua Ruzuku, sio vema Ruzuku wachukue alafu kwenye vingamuzi vingine isifanye kazi; Kama vipi wawalipe hivyo Vingamuzi ili wawaonyeshe kwenye hii la World Cup