Hivi TBC sio Free to Air Tena?

Hivi TBC sio Free to Air Tena?

Logikos

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
15,460
Reaction score
24,233
Naomba kujuzwa hii TBC inayoendeshwa kwa Ruzuku zetu ni lini imebadilika kutokuwa Free to Air ?

Kama ni issue za Word Cup huu ndio utapeli kwamba watu wanunue vifurushi ili waone mama anaupiga mwingi ?, Huyu Nape na hawa TCRA wameshindwa Kazi ? au watafuatilia na kuleta majibu baada ya Kombe la Dunia Kuisha, na hapo ndio itarudi kuwa Free to Air ?

Sina neno kama sio Free to Air, basi iache kuchukua Ruzuku, sio vema Ruzuku wachukue alafu kwenye vingamuzi vingine isifanye kazi; Kama vipi wawalipe hivyo Vingamuzi ili wawaonyeshe kwenye hii la World Cup
 
Tumekusikia mtazamaji wetu

Endelea kutazama Tbc1..ukweli na uhakika
Na hapa ndio watanzania Tuna-Fail; Haujui kwamba Kodi yako inatumika kuendesha TBC; Hence hata kama hauangalii ni kwamba Pesa yako inatumika ndivyo sivyo...

Na hii ndio inapelekea walamba Asali kuchonga Mzinga...,
 
Na hapa ndio watanzania Tuna-Fail; Haujui kwamba Kodi yako inatumika kuendesha TBC; Hence hata kama hauangalii ni kwamba Pesa yako inatumika ndivyo sivyo...

Na hii ndio inapelekea walamba Asali kuchonga Mzinga...,
Badilisha King'amuzi mkuu ukisema usubiri FTA utachoka
 
Badilisha King'amuzi mkuu ukisema usubiri FTA utachoka
Mkuu FTA sio issue ya Kingamuzi FTA ni FREE TO AIR kwahio hata kama hauna kingamuzi na TV yako ina kisimbuzi automatically ni kwamba unaipata Freely...

Nasikitika wewe kama mlipa Kodi bado haujaona tatizo; Ruzuku TBC wanapata na moja kati ya mikataba yao na wewe ni kwamba hii kitu ipatikane freely kwahio wewe badala ya kuona tatizo kwamba unaibiwa na kushika mwizi unaona suluhisho ni kuacha kuwa na mali (sasa hapo unamkomoa nani)?

Inabidi watanzania tuwe na principles; na Mbuyu unaanza kama mchicha.., leo wanaibia watanzania (u-Free to Air) kesho wanafunga Mikataba yenye Kwashiorkor....

Basi kama vipi katika kipindi hiki wasichukue Ruzuku...;
 
Naomba kujuzwa hii TBC inayoendeshwa kwa Ruzuku zetu ni lini imebadilika kutokuwa Free to Air ?

Kama ni issue za Word Cup huu ndio utapeli kwamba watu wanunue vifurushi ili waone mama anaupiga mwingi ?, Huyu Nape na hawa TCRA wameshindwa Kazi ? au watafuatilia na kuleta majibu baada ya Kombe la Dunia Kuisha, na hapo ndio itarudi kuwa Free to Air ?

Sina neno kama sio Free to Air, basi iache kuchukua Ruzuku, sio vema Ruzuku wachukue alafu kwenye vingamuzi vingine isifanye kazi; Kama vipi wawalipe hivyo Vingamuzi ili wawaonyeshe kwenye hii la World Cup
kuna watu mnastahili kupewa nishani. Unapoteza muda wako kutazama TBC?
 
Mkuu FTA sio issue ya Kingamuzi FTA ni FREE TO AIR kwahio hata kama hauna kingamuzi na TV yako ina kisimbuzi automatically ni kwamba unaipata Freely...

Nasikitika wewe kama mlipa Kodi bado haujaona tatizo; Ruzuku TBC wanapata na moja kati ya mikataba yao na wewe ni kwamba hii kitu ipatikane freely kwahio wewe badala ya kuona tatizo kwamba unaibiwa na kushika mwizi unaona suluhisho ni kuacha kuwa na mali (sasa hapo unamkomoa nani)?

Inabidi watanzania tuwe na principles; na Mbuyu unaanza kama mchicha.., leo wanaibia watanzania (u-Free to Air) basi katika kipindi hiki wasichukue Ruzuku...
Sawa mkuu nimekupata
 
kuna watu mnastahili kupewa nishani. Unapoteza muda wako kutazama TBC?
Wewe unayetumia pesa yako kuwalipa / Kuwa-facilitate TBC unastahili nini ?

Kweli kwa Mtaji huu tutaendelea kupigwa mpaka vifo vyetu..., Kwahio sababu mtu hapandi Train anapanda Ndege, au Hapandi Meli ndio akae kimya kama pesa za UMMA zinapigwa au zinafujwa au hazifanyi kilichopangwa ?
 
Wewe unayetumia pesa yako kuwalipa / Kuwa-facilitate TBC unastahili nini ?

Kweli kwa Mtaji huu tutaendelea kupigwa mpaka vifo vyetu..., Kwahio sababu mtu hapandi Train anapanda Ndege, au Hapandi Meli ndio akae kimya kama pesa za UMMA zinapigwa au zinafujwa au hazifanyi kilichopangwa ?
sasa wewe unayelalama unadhani utasababisha mabadiliko gani kwa taasisi inayoendeshwa na makada wa ccm? wake up and stop wasting your energry. TBC kubadilika lazima mifumo ya kitaifa ya uongozi na dola ibadilike. imeanzishwa kwa mujibu wa sheria, ungejiuliza hiyo sheria inaizuia tbc kufanya upuuzi?...broaden your thinking
 
sasa wewe unayelalama unadhani utasababisha mabadiliko gani kwa taasisi inayoendeshwa na makada wa ccm? wake up
I wonder who needs to Wake Up !!!!

power.jpg
 
sasa wewe unayelalama unadhani utasababisha mabadiliko gani kwa taasisi inayoendeshwa na makada wa ccm?
Kumbe umeongezea Points nyingine?!!

Unajua TBC ni Taasisi ya Nani na inatakiwa ifanye nini, na ipo answerable kwa nani?
wake up and stop wasting your energry.
Kuhakiki / Kudai / Kuhoji matumizi ya Kodi zako ni wastage of energy ?
TBC kubadilika lazima mifumo ya kitaifa ya uongozi na dola ibadilike.
Aisee !!!, Yaani suala la kuwauliza TCRA / Waziri wa Habari Wahusika wa TBC inahitaji mifumi ya Kitaifa ibadilike ? Kumbuka hili lipo wazi Sheria za Free to Air zipo wazi na hata FIFA kuwapa TBC kuonyesha Game kwa bei ndogo ni sababu ya kuwa FTA na (TV ya Taifa) kwahio kufanya vinginevyo ni ufisadi...
imeanzishwa kwa mujibu wa sheria, ungejiuliza hiyo sheria inaizuia tbc kufanya upuuzi?...broaden your thinking
Hakuna Sheria inayoruhusu Upuuzi (ingawa upuuzi unaweza ukawa subjective; lakini hili la FREE to AIR wala sio Siri na lipo Kisheria kulingana na Leseni zao..., Na since wanachukua RUZUKU basi wakitaka hivyo waanze kuuza Channel yao hilo halina shaka ila na Ruzuku waache kuchukua...

Kuna vitu vina technicalities ila hili lipo wazi kabisa....
 
Mkuu, mimi bado sijaelewa unacholalamika ni nini?

Issue ni kuwa haipo kwenye category ya FTA, au ipo lakini wameiondoa sababu ya WC au kuna visimbusi haipo tena?

Naomba fafanua.
 
you seriously need to wake up. in this depiction, unadhani wote wataondoka? ....ni kama ambavyo wengi tumeshaisusa tbc lakini wachache wenu bado mnaing'ang'ania
Na katika hio depiction unadhani wanaokaa hapo ni kina nani kama sio wewe ?!!!

Kwamba umesusa kuangalia TBC (who Cares) as long as unailipia !!!

TBC ni Channel ya Taifa inabidi kuonyesha hata vitu ambavyo vina impact kwa Taifa hata kama sio money making, au vina wadau wachache..., Kipindi cha Kombe la Dunia ambapo vijana hawana ajira hii ingeweza kuwa motivation ya wao kuchukua Ndaruga na kuingia uwanjani, au unadhani wote wana vingamuzi ?

Issue sio wewe unaangalia nini (watu siku hizi hakuna anaangalia TV ni Video on Demand) Issue ni Pesa yako unayotoa kama inafanya kile kinatakiwa kufanywa...

Nasikitika sana hujui hayo (na sababu ya kwamba unachokisema au kukilalamikia hakitashughulikiwa hakiondoi Haki / Wajibu wako wa kukilalamikia)
 
Ni Free to Air ila wakati huu wa kombe la Dunia ni Free to Pay.
Na watu wapo Kimya !!! Yaani Kodi zetu zinazowapa Ruzuku hazitoshi..., Unadhani hata FIFA wangejua huu Upuuzi wangewapa hii kitu kwa bei walizowapa ?

Huu upuuzi kuendelea kuwaacha hawa wapuuzi ndio kuendelea kukitumia hiki chombo kama chombo cha Propaganda bila aibu yoyote....
 
Ile dhana ya fair competition inakuwa haipo. Wao wanaendeshwa kwa pesa ya Serikali. Wenzako wanajiendesha kwa pesa zao ikiwemo wanazozipata kwa matangazo ya biashara.
 
Ile ile TBC mliyo kuwa mnaibeza siku zote ama ni TBC ipi? Kipindi hiki cha world cup ndo mnaipenda?
Watu wanapenda TBC au kinachooneshwa hapo ?; TV zote za Taifa zimepewa ahueni katika kuonesha mtanange (ili majority waweze kuona the Beautiful Game no matter kipato chao)

Sasa hizo pesa tunazowapa mwaka mzima kwa miaka minne leo hii katika kipindi cha mwezi ambapo watu wanataka kuona Mtanange (Sio logo ya TBC) uwaambie mpaka walipie ?

Kama sio wizi ni nini ?; Hata kama wanaolipwa sio TBC ni vingamuzi husika basi katika lile fungu la Ruzuku ya miaka yote waliyopewa wawagawiwe hivyo visimbuzi ili iendelee kuwa kama leseni yao inavyosema
 
Back
Top Bottom