dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
hahahahahaIle ile TBC mliyo kuwa mnaibeza siku zote ama ni TBC ipi? Kipindi hiki cha world cup ndo mnaipenda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahahaIle ile TBC mliyo kuwa mnaibeza siku zote ama ni TBC ipi? Kipindi hiki cha world cup ndo mnaipenda?
Ndio maana ingebidi TBC hasionyeshe Matangazo wala asichague Programs hata zile ambazo sio Commercially Viable ila zina mchango kwa Taifa aweze kuzionyesha...Ile dhana ya fair competition inakuwa haipo. Wao wanaendeshwa kwa pesa ya Serikali. Wenzako wanajiendesha kwa pesa zao ikiwemo wanazozipata kwa matangazo ya biashara.
Kwamba huku ni kulalamika, au kuhoji matumizi ya kodi zetu na kupindishwa kwa Sheria !???Pole mkuu watu wengi washakubali utalalamika tu bure
Hilo ni Swali kwamba hii sio FTA tena ?Mkuu, mimi bado sijaelewa unacholalamika ni nini?
Sasa kama haipo kwenye VISIMBUSI mpaka ulipie hivyo VISIMBUSI hio ni FTA ya wapi tena ?Issue ni kuwa haipo kwenye category ya FTA, au ipo lakini wameiondoa sababu ya WC au kuna visimbusi haipo tena?
Naomba fafanua.
Naam ndio nayosema hayo hata mtu hujui bure ni nini na nini unakilipia; Hapo ulipo unalipia TBC wanayopewa kama Ruzuku; Pia TBC ni Free to Air hata contract na mechi walizopewa ni sababu ya kuwa TV ya Taifa ambayo ni Free to Air..TBC FM ndo free kwani huna redio na mpira wanarusha TBC FM
Ukitaka Tv bas nunua kifurushi acha kupenda vya bure
Na hapa ndio watanzania Tuna-Fail; Haujui kwamba Kodi yako inatumika kuendesha TBC; Hence hata kama hauangalii ni kwamba Pesa yako inatumika ndivyo sivyo...
Na hii ndio inapelekea walamba Asali kuchonga Mzinga...,
Tbc kuna baadhi ya frequency ni free to air, na kuna baadhi sio mfano ukiingiza frequency za azamu hata TBC haitakubali kufunguka kwa kuwa wanazi encript zitumike kwa vingamuzi vya kampuni husika kwa sasa kama unataka free to air ni lazima uwe na dish kubwa na utumie channel za west kupata tbcNaomba kujuzwa hii TBC inayoendeshwa kwa Ruzuku zetu ni lini imebadilika kutokuwa Free to Air ?
Kama ni issue za Word Cup huu ndio utapeli kwamba watu wanunue vifurushi ili waone mama anaupiga mwingi ?, Huyu Nape na hawa TCRA wameshindwa Kazi ? au watafuatilia na kuleta majibu baada ya Kombe la Dunia Kuisha, na hapo ndio itarudi kuwa Free to Air ?
Sina neno kama sio Free to Air, basi iache kuchukua Ruzuku, sio vema Ruzuku wachukue alafu kwenye vingamuzi vingine isifanye kazi; Kama vipi wawalipe hivyo Vingamuzi ili wawaonyeshe kwenye hii la World Cup
Wewe kama umeamua kukaa kimya ni Prerogative yako..., ila kumwambia mwingine akae kimya nadhani ni kuwa na Upeo Mfupi..., Ila nakukumbusha ni Jukumu lako kuongea iwapo kodi yako haifanyi kazi yake...Enjoy maisha bana kodi gan iyo unayochangia ad uanze kulalamika ivyo sasa kodi ulipe ww na bado ufe kwa presure na stress kibao kisa kodi
Nadhani AZAM watakuwa na a Case sababu wenyewe leseni yao ya hizo Dish ni kwamba inabidi uweke pesa ili uweze kuangalia channels na hizo za bure hata wasipoweka siwezi kuwalaumu sana...Tbc kuna baadhi ya frequency ni free to air, na kuna baadhi sio mfano ukiingiza frequency za azamu hata TBC haitakubali kufunguka kwa kuwa wanazi encript zitumike kwa vingamuzi vya kampuni husika kwa sasa kama unataka free to air ni lazima uwe na dish kubwa na utumie channel za west kupata tbc