Hivi TBS na FCC wapo kweli Tanzania?

Hivi TBS na FCC wapo kweli Tanzania?

Hapana ni ya Bomba ,kaitafute iyo sabuni jaribu kuitumia uje unipe jibu inaitwa super wash katembelea upepo WA white wash,mi niliagiza white wash nikaletewa super wash
Usikute ulifua kwa kutumia hard water..!!

Ukiona dogo ananunua vipande jua ndio kwanza anajitafuta hapo umeongea kirahisi aende ofisini kwao angekua na hizo nauli si angenunua Omo tu afue bila tabu shida wabongo mkishiba kidogo hamjui shida za wengine..
Tatizo kwenye mitandao watu tunachukuliana poa sana, 😀😀 ila iyo issue ya bidhaa ni yetu site ipo siku litampata atakuja uku ,tatizo wabongo wengi vichwa panzi utakuta mtu anatetea mtu kuuliwa Israel na Palestine wakati Dar watu kibao wanauwawa na wengine kupotea
 
Ukiona dogo ananunua vipande jua ndio kwanza anajitafuta hapo umeongea kirahisi aende ofisini kwao angekua na hizo nauli si angenunua Omo tu afue bila tabu shida wabongo mkishiba kidogo hamjui shida za wengine..
Mi ni dogo?
 
Back
Top Bottom