Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
eti wakuu
Kunani hapa?
Mbona bado hizi meseji za ajabuajabu zinaendelea kutumwa licha ya mabiti yanayopigwa kila mara na hawa jamaa wa TCRA?
Kwanini hawafungiwi hawa watu?
Kunani hapa?
Mbona bado hizi meseji za ajabuajabu zinaendelea kutumwa licha ya mabiti yanayopigwa kila mara na hawa jamaa wa TCRA?
Kwanini hawafungiwi hawa watu?