Clarity
JF-Expert Member
- Jul 6, 2010
- 1,828
- 2,637
Tatizo mvuto mie kwangu wanaleta sura mbaya😁apo hamna namna kiongozi labda umpake mafuta tu mmalizane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo mvuto mie kwangu wanaleta sura mbaya😁apo hamna namna kiongozi labda umpake mafuta tu mmalizane
Wewe block tu namba hizoInashangaza sana
nimecheka sana aisee
HaahaaTatizo mvuto mie kwangu wanaleta sura mbaya😁
Hawa TCRA ndiyo miongoni mwa 40% ya wafanyakazi wa umma wanaolipwa mshahara bila kufanya kazi kama alivyobainisha Waziri Simbachawene!eti wakuu
Kunani hapa?
Mbona bado hizi meseji za ajabuajabu zinaendelea kutumwa licha ya mabiti yanayopigwa kila mara na hawa jamaa wa TCRA?
Kwanini hawafungiwi hawa watu?
View attachment 3236559
Unaweza ukawasjauri wafanyeje ? Anzia malampyni ya simu.....washauri waganye nini.....ni ngumu sana control mtu mmoja mmoja....lakoni toa maoni yako wafanyejeeti wakuu
Kunani hapa?
Mbona bado hizi meseji za ajabuajabu zinaendelea kutumwa licha ya mabiti yanayopigwa kila mara na hawa jamaa wa TCRA?
Kwanini hawafungiwi hawa watu?
View attachment 3236559
kiongoz soma vzuri tokea mwanzo kuna ushauri tyr upo ukoUnaweza ukawasjauri wafanyeje ? Anzia malampyni ya simu.....washauri waganye nini.....ni ngumu sana control mtu mmoja mmoja....lakoni toa maoni yako wafanyeje