Barn
JF-Expert Member
- Feb 28, 2017
- 2,734
- 4,042
Diamond si akashindane tu na beka flavourKiba alishachuja tangu zama sema watu wanatafuta wakushindanisha na diamond
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Diamond si akashindane tu na beka flavourKiba alishachuja tangu zama sema watu wanatafuta wakushindanisha na diamond
Sent using Jamii Forums mobile app
Management ya Alikiba nafikiri waangalie,hii staili ya kuitafutia ngoma promo itamharibia na mwisho kuonekana hawezi ...ngoma aliyotoa ni nzuri ya kawaida,sasa utasikia Mbunge Flan...No Dewji...Waziri...aasifia Seduce
My take...watu watakuja kugundua ni promo...kitu ambacho kwa msanii mkubwa kama Alikiba ni kumshushia Hadhi...Alikiba haitaji promo katika ngoma kwa kiasi hiki
carnte himself