NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Kuongozwa na Msomali ni hatari sana.....ila ngoja wajuvi waje ...Nimeshituka juzi Kati Manara akilalamika kuwa angekuwa hajafungiwa kuingia uwanjani angeenda kuangalia mpira.
Sasa najiuliza ni kanuni gani iliyotumika kufungiwa mpaka kuingia uwanjani tu Kama shabiki??
au Manara ni gaidi mpaka wameamua kumpiga pini kiasi hiki??
NALIA NGWENA nitafurahi sana endapo nitapata majibu thabiti kutoka kwa wajuzi (wabobezi) wa kanuni hizi za sheria za TFF.
Nawasilisha hoja.
MTU hata kwenda uwanjani kuangalia mpira hamna duhKuongozwa na Msomali ni hatari sana.....ila ngoja wajuvi waje ...
Hatari sana ... yaani kukaa jukwaani tu!!!? sipati Picha hasira za Wasomali zilivyo...!!!?MTU hata kwenda uwanjani kuangalia mpira hamna duh
Jikite kwenye hojaYANGA 1
USM ALGER 2
Noma sana aise hata Kama ni chuki NI hatari sana.Hatari sana ... yaani kukaa jukwaani tu!!!? sipati Picha hasira za Wasomali zilivyo...!!!?
Msomali ana chuki ya hatari sana,,..anaweza hata kuua anavyoonekana.... Haji awe makini sana, Msomali anaonekana ana Roho Mbaya sana...Noma sana aise hata Kama ni chuki NI hatari sana.
Wewe umeona niniUnaongelea kifungu au kifungo?
Hongera sana kwa kuchukua kombeUTO MMEKANDWA
Kwahiyo Manara angekuwa Uwanjani Yanga 3 USM Alger 0.Nimeshituka juzi Kati Manara akilalamika kuwa angekuwa hajafungiwa kuingia uwanjani angeenda kuangalia mpira.
Sasa najiuliza ni kanuni gani iliyotumika kufungiwa mpaka kuingia uwanjani tu Kama shabiki??
au Manara ni gaidi mpaka wameamua kumpiga pini kiasi hiki??
NALIA NGWENA nitafurahi sana endapo nitapata majibu thabiti kutoka kwa wajuzi (wabobezi) wa kanuni hizi za sheria za TFF.
Nawasilisha hoja.
Kifungu gani!? au Kanuni gani?Kukusaidia tu, kosa alilolifanya alilifanyia uwanjani ndiyo maana unaona adhabu inasema hivyo.
Wakati inatolewa ile adhabu, haikusemwa asiende uwanjani! Amekuwa akikuza jambo lile yeye mwenyewe tu!Kukusaidia tu, kosa alilolifanya alilifanyia uwanjani ndiyo maana unaona adhabu inasema hivyo.
Katiba ya TFF unayo hapo mfukoni?Kifungu gani!? au Kanuni gani?
Jikite kwenye maada acha kujibu kwa mihemuko.Sasa hiyo takataka ingekuwepo uwanjani ndio mngeshinda,utopolo hebu kuweni na akili hata kidogo basi