NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
- #21
Mbona huwa ana lalamika sana Kama Tff wanasingiziwa si wajutokeze wakanushe kuwa hawajamfungia kwenda uwanjaniWakati inatolewa ile adhabu, haikusemwa asiende uwanjani! Amekuwa akikuza jambo lile yeye mwenyewe tu!