Habarini Wadau,
Nimewakumbuka sana The Kilimanjaro Band, hasa ngoma yao ile ya "Kachiri" "Tulizana Mpenzi" wananjenje na "Boko"
Hasa kiswahili kizuri kilichotumiwa na yule mzee na pale pa ukataji mauno...
[emoji444] bijou...bijou...bijou [emoji444] [emoji445]
Wale walikuwa wakali bana.