Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Habarini Wadau,
Nimewakumbuka sana The Kilimanjaro Band, hasa ngoma yao ile ya "Kachiri" "Tulizana Mpenzi" wananjenje na "Boko"
Hasa kiswahili kizuri kilichotumiwa na yule mzee na pale pa ukataji mauno...
[emoji444] bijou...bijou...bijou [emoji444] [emoji445]
Wale walikuwa wakali bana.
Nimewakumbuka sana The Kilimanjaro Band, hasa ngoma yao ile ya "Kachiri" "Tulizana Mpenzi" wananjenje na "Boko"
Hasa kiswahili kizuri kilichotumiwa na yule mzee na pale pa ukataji mauno...
[emoji444] bijou...bijou...bijou [emoji444] [emoji445]
Wale walikuwa wakali bana.