Hivi TID bado anatumia 'unga' au ni athari bado zinaonekana?

Hivi TID bado anatumia 'unga' au ni athari bado zinaonekana?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ni kama vile tokea atoke Kolokoroni pale Central Police huyu Msanii TID amezidi kuwa ni kama Mtu aliyechanganyikiwa. Nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu mkubwa sana interviews zake katika Media na Social Platforms zingine na kugundua kuwa athari za matumizi ya dawa za kulevya bado hazijamalizika kunako Ubongo wake.

TID amekuwa :

  1. Mpayukaji
  2. Mbwabwaji
  3. Mkurupukaji
  4. Hajielewi
  5. Mpigaji mikelele hovyo
  6. Analazimisha kujipendekeza
  7. Mwongo
Kwa mnaomjua huyu Mtu kindakindaki nisaidieni je Jamaa bado anatumia au bado umegandiana hivyo inahitajika nguvu ya ziada kuweza kuuyeyusha utoke wote na arudi kuwa sawasawa?
 
Sembe huwezi kuliacha mara moja,hizo ni dalili za kupungukiwa na dozi
half arosto
 
Tatizo watu wanaomtumia wanamuaminisha kua amepona kwa kitendo cha kupanda pale jukwaani (ukumbi wa JK Nyerere) na kuongea kua yeye ni mla unga anaamini amepona ivyo analazimisha awe normal kumbe anaharibu.
 
Safari 1 Juma Mchopanga aliwahi kutahadharisha mwanzoni kabisa, "jamani, jamani, Mnyama anakula chakula cha Nyoka". Juma akaambulia diss kibao. Leo sasa Juma kakaa mbali analisoma movie kama hataki!

Sent from my HTC Desire 820G PLUS dual sim using JamiiForums mobile app
 
Huyu hatakiwi awe mbele ya camera au nyuma ya microphone anapaswa awe nyuma ya nondo kama sio za Central basi at least ziwe za Mirembe.
 
tabia za uropokaji na uongo ni kawaida yake.
[HASHTAG]#dude[/HASHTAG] has ego.
 
Me nitakupa msaada wakukupeleka hadi kwake ukajihakikishie mwenyewe ngada hawaachi OVER NIGHT
 
Hivi ngada kuiacha ni kazi sana eeeh maana kama chid alirudia basi ni kazi sana
 
Jamaa anatafuta Kiki hapo.

Huoni katoa mpaka wimbo maisha ya jela
 
Back
Top Bottom