Hivi 'tingatinga' atakubali kutembelewa mara kwa mara pale Magogoni na huyu best yetu?

Hivi 'tingatinga' atakubali kutembelewa mara kwa mara pale Magogoni na huyu best yetu?

K 4 LIFE

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2015
Posts
2,567
Reaction score
416
wakuu ikitokea tingatinga kashinda uchaguzi mkuu je atakubali zile ziara zisizo na tija yoyote pale magogoni ambazo ufanywa na huyu msanii best kwa wakuu wa kaya, kama afanyavyo sasa kwa mkuu wetu wa kaya kila siku jamaa anaenda magogoni, je tingatinga atakubali?
 
Na haitakaa itokeee..wacha kuota mchana...na wasaniii kuingia ikulu hivyo mwisho mwaka huu.
 
Diamond ataenda kuonyesha tuzo zake zote na kuzipanga mlangoni.
 
wakuu ikitokea tingatinga kashinda uchaguzi mkuu je atakubali zile ziara zisizo na tija yoyote pale magogoni ambazo ufanywa na huyu msanii best kwa wakuu wa kaya, kama afanyavyo sasa kwa mkuu wetu wa kaya kila siku jamaa anaenda magogoni, je tingatinga atakubali?
Yeyote atakayeshinda DIAMOND ni kipenzi chao hata LOWASSA anamkubali sana DIAMOND
 
Back
Top Bottom