Hivi TISS mmeshindwa ku connect dots? M Pox inatoka kwenye migomba mirefu.

Hivi TISS mmeshindwa ku connect dots? M Pox inatoka kwenye migomba mirefu.

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
Watanzania ni wamoja. Haijalishi tofauti ya mitazamo ya kisiasa au ya kidini. Linapokuja swala la usalama wa nchi lazima mshikamano na Umoja wetu uwe imara.

Siku kadhaa nyuma kuna mkuu mmoja wa nchi iliyopo ubavuni mwetu, ubavu wa kushoto, tena akitumia Lugha ya Kiswahili ili ujumbe utupate ipasavyo, alisema Kwamba Rwanda doesn't have the means, but they have the methods (ways). Hivyo kijiografia Rwanda ni nchi ndogo isiyo na rasilimali nyingi, lakini wao siyo migomba mifupi kama wanavyofikiriwa.

Haya magonjwa yanayoibuka moja kwa moja ni shambulizi kutoka kwa migomba mirefu. Huyu MTU si wa kumchekea hata kidogo.
 
Mimi kama mtanzania mzalendo Naipenda sana Rwanda kwa namna inavyojipigania kuhakikisha Nchi Yao inakuwa salama na kupiga hatua kimaendeleo.Tanzania inatakiwa ikajifunze kwa magenius wa Paul kagame
Hao jamaa hasa hasa Tutsis wana uwezo wa kukaa katika 'incubation period /state/mode: even for 50 years. When they are ready, they unleash unstoppable fire.
 
Hao jamaa hasa hasa Tutsis wana uwezo wa kukaa katika 'incubation period /state/mode: even for 50 years. When they are ready, they unleash unstoppable fire.
Hatari sana
 
Watanzania ni wamoja. Haijalishi tofauti ya mitazamo ya kisiasa au ya kidini. Linapokuja swala la usalama wa nchi lazima mshikamano na Umoja wetu uwe imara.

Siku kadhaa nyuma kuna mkuu mmoja wa nchi iliyopo ubavuni mwetu, ubavu wa kushoto, tena akitumia Lugha ya Kiswahili ili ujumbe utupate ipasavyo, alisema Kwamba Rwanda doesn't have the means, but they have the methods (ways). Hivyo kijiografia Rwanda ni nchi ndogo isiyo na rasilimali nyingi, lakini wao siyo migomba mifupi kama wanavyofikiriwa.

Haya magonjwa yanayoibuka moja kwa moja ni shambulizi kutoka kwa migomba mirefu. Huyu MTU si wa kumchekea hata kidogo.
TISS ipi??iliyojaa watoto wa Lumumba?!
 
Mwaka 2013 kulikuwa na operation ya kuwaondoa Wanyarwanda Tanzania nakumbuka kuna jamaa aliuza Nyumba yake kwa laki sita it was painful moment to them

Ila nilifurahi pale Kagame Alipowakaribisha na kuwapa Viwanja bure na sehemu nzuri za kufikia.

Kagame japo simkubali Ila hauwezi mfananisha na viongozi wa nchi ile yenye waziri Mkuu muongo muongo
 
Mimi kama mtanzania mzalendo Naipenda sana Rwanda kwa namna inavyojipigania kuhakikisha Nchi Yao inakuwa salama na kupiga hatua kimaendeleo.Tanzania inatakiwa ikajifunze kwa magenius wa Paul kagame
We ni mhutu wa rwanda
 
Back
Top Bottom