LGE2024 Hivi TLS haiwezi kwenda Mahakamani kuhoji ukiukwaji wa sheria, taratibu na kanuni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

LGE2024 Hivi TLS haiwezi kwenda Mahakamani kuhoji ukiukwaji wa sheria, taratibu na kanuni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Ukiukwaji ni mkubwa tena unafanyika wazi wazi mbele ya jamii bila hofu yeyote kwa wahusika. Waziri wa TAMISEMI yupo, Tume ya Uchaguzi ipo, Vyombo vya sheria vipo. Lakini....

1. Watoto chini ya miaka 18 wanaandikishwa, ushahidi wa picha upo.

2. Makarani wanaenda nyumbani kulala na vitabu vya wapiga kura.

3. Karani wanaruka mistari na orodha ya namba kwenye vitabu vya wapiga kura.

4. Mawakala wa vyama vya upinzani hawaruhusiwi kujua idadi ya waliojiandikisha siku hiyo.

5. Watendaji wa serikali za mitaa kujiona miungu watu hawatoi ushirikiano kwa wadau tofauti na viongozi wa CCM.

6. Uwepo wa vituo nyumbani kwa viongozi na majengo ya CCM.

7. Uwepo wa vituo hewa vya kuandikisha wapiga kura.

8. Walimu kuhusika na kutoa majina ya wanafunzi wa shule zao kuandikishwa bila kufuata utaratibu.

Kama wahusika hawachukui hatua yeyote ni wakati sasa kwa Chama cha Wanasheria Tanganyika TLS kuingilia kati.

CC: Rais TLS Boniface Mwabukusi.
 
Ukiukwaji mkubwa unafanyika wazi wazi mbele ya jamii tena bila hofu yeyote kwa wahusika. Waziri wa TAMISEMI yupo, Tume ya Uchaguzi ipo, Vyombo vya sheria vipo. Lakini....

1. Watoto chini ya miaka 18 wanaandikishwa, ushahidi wa picha upo.

2. Makarani wanaenda nyumbani kulala na vitabu vya wapiga kura.

3. Karani wanaruka namba na mistari kwenye kitabu cha wapiga kura.

4. Mawakala wa vyama vya upinzani hawaruhusiwi kujua idadi ya waliojiandikisha siku hiyo.

5. Watendaji wa serikali za mitaa ni miungu mtu hawatoi ushirikiano kwa wadau tofauti na viongozi wa CCM.

6. Uwepo wa vituo nyumbani kwa viongozi na majengo ya CCM.

7. Uwepo wa vituo hewa vya kuandikisha wapiga kura.

8. Walimu kuhusika na kutoa majina ya wanafunzi wa shule zao kuandikishwa bila kufuata utaratibu.

Kama wahusika hawachukui hatua yeyote ni wakati sasa kwa Chama cha Wanasheria Tanganyika TLS kuingilia kati.
haiwezi,
kwasabb hayo ni malalamiko ya kawaida ya walalamikaji waliozoeleka na wasiochagulika, na yasiyo na ushahidi wowote wa maana..

lakini zaidi sana TLS wanafahamu wazi kwamba katika mchakato wa uchaguzi kuna dosari na kasoro ndogo ndogo ambazo haziepukiki 🐒
 
Huyo jamaa yenu mbona ni kama kashawekewa mpunga...
 
Kumweka mkwe mwenye kifua asimamie uchaguzi tamisemi haikuwa bahati mbaya. Haya haya yatatokea mwaka kesho kwenye uchaguzi mkuu.
 
Ukiukwaji ni mkubwa tena unafanyika wazi wazi mbele ya jamii bila hofu yeyote kwa wahusika. Waziri wa TAMISEMI yupo, Tume ya Uchaguzi ipo, Vyombo vya sheria vipo. Lakini....

1. Watoto chini ya miaka 18 wanaandikishwa, ushahidi wa picha upo.

2. Makarani wanaenda nyumbani kulala na vitabu vya wapiga kura.

3. Karani wanaruka mistari na orodha ya namba kwenye vitabu vya wapiga kura.

4. Mawakala wa vyama vya upinzani hawaruhusiwi kujua idadi ya waliojiandikisha siku hiyo.

5. Watendaji wa serikali za mitaa kujiona miungu watu hawatoi ushirikiano kwa wadau tofauti na viongozi wa CCM.

6. Uwepo wa vituo nyumbani kwa viongozi na majengo ya CCM.

7. Uwepo wa vituo hewa vya kuandikisha wapiga kura.

8. Walimu kuhusika na kutoa majina ya wanafunzi wa shule zao kuandikishwa bila kufuata utaratibu.

Kama wahusika hawachukui hatua yeyote ni wakati sasa kwa Chama cha Wanasheria Tanganyika TLS kuingilia kati.

CC: Rais TLS Boniface Mwabukusi.
Kazi na faida ya wananchi ni ipi? Yaani wananchi mpo tu mnakula bata huku mki leftishana magroup kwa wingi, lakuni lijaoo swala la nchi mnataka TLS ndiyo iwapiganie?
 
Hili la kuwepo kituo kwenye majengo ya ccm nilitamani tupate ushahid wa picha
 
Ukiukwaji ni mkubwa tena unafanyika wazi wazi mbele ya jamii bila hofu yeyote kwa wahusika. Waziri wa TAMISEMI yupo, Tume ya Uchaguzi ipo, Vyombo vya sheria vipo. Lakini....

1. Watoto chini ya miaka 18 wanaandikishwa, ushahidi wa picha upo.

2. Makarani wanaenda nyumbani kulala na vitabu vya wapiga kura.

3. Karani wanaruka mistari na orodha ya namba kwenye vitabu vya wapiga kura.

4. Mawakala wa vyama vya upinzani hawaruhusiwi kujua idadi ya waliojiandikisha siku hiyo.

5. Watendaji wa serikali za mitaa kujiona miungu watu hawatoi ushirikiano kwa wadau tofauti na viongozi wa CCM.

6. Uwepo wa vituo nyumbani kwa viongozi na majengo ya CCM.

7. Uwepo wa vituo hewa vya kuandikisha wapiga kura.

8. Walimu kuhusika na kutoa majina ya wanafunzi wa shule zao kuandikishwa bila kufuata utaratibu.

Kama wahusika hawachukui hatua yeyote ni wakati sasa kwa Chama cha Wanasheria Tanganyika TLS kuingilia kati.

CC: Rais TLS Boniface Mwabukusi.
Tatizo siyo kwenda mahakamani tatizo mfumo mzima wa uchaguzi upo hovyo leo hii waziri wa Tamisemi ambaye ni Kada wa chama Tawala na anaingia kwenye vikao vya chama na kupanga mikakati ya chama chake ndiye awe kiranja wa uchaguzi wa vyama vyote.? Kasoro inaanzia kwenye katiba, wakurugenzi watendaji wa kata na wasimamizi wote wanapokea maelezo ya upande mmoja ktk ushindani kutoboa hapo ni kazi sana. Hapa kikubwsa tupate katiba mpya yenye meno na mamlaka kwa wananchi
 
Kazi na faida ya wananchi ni ipi? Yaani wananchi mpo tu mnakula bata huku mki leftishana magroup kwa wingi, lakuni lijaoo swala la nchi mnataka TLS ndiyo iwapiganie?
Kila mtu na wajibu wake unataka wote twende mahakamani.
 
Hili la kuwepo kituo kwenye majengo ya ccm nilitamani tupate ushahid wa picha
20241018_115910.jpg
 
Tatizo siyo kwenda mahakamani tatizo mfumo mzima wa uchaguzi upo hovyo leo hii waziri wa Tamisemi ambaye ni Kada wa chama Tawala na anaingia kwenye vikao vya chama na kupanga mikakati ya chama chake ndiye awe kiranja wa uchaguzi wa vyama vyote.? Kasoro inaanzia kwenye katiba, wakurugenzi watendaji wa kata na wasimamizi wote wanapokea maelezo ya upande mmoja ktk ushindani kutoboa hapo ni kazi sana. Hapa kikubwsa tupate katiba mpya yenye meno na mamlaka kwa wananchi
Kesi ipo mahakamani kupinga uchaguzi kusimamiwa na TAMISEMI.
 
haiwezi,
kwasabb hayo ni malalamiko ya kawaida ya walalamikaji waliozoeleka na wasiochagulika, na yasiyo na ushahidi wowote wa maana..

lakini zaidi sana TLS wanafahamu wazi kwamba katika mchakato wa uchaguzi kuna dosari na kasoro ndogo ndogo ambazo haziepukiki 🐒
Huko ndiko kukubalika kwa ccm kwamba itashinda kw ushindi wa kishindo labda kishindo cha kuiba na figisu na utumiaji wa policcm ili mambo yenu yaende.

Ccm bila ya figisu haina uwezo wa kushinda hata kwa 20% , mtafiti uchwara.
 
Back
Top Bottom