LGE2024 Hivi TLS haiwezi kwenda Mahakamani kuhoji ukiukwaji wa sheria, taratibu na kanuni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

LGE2024 Hivi TLS haiwezi kwenda Mahakamani kuhoji ukiukwaji wa sheria, taratibu na kanuni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Huko ndiko kukubalika kwa ccm kwamba itashinda kw ushindi wa kishindo labda kishindo cha kuiba na figisu na utumiaji wa policcm ili mambo yenu yaende.

Ccm bila ya figisu haina uwezo wa kushinda hata kwa 20% , mtafiti uchwara.
sio kukubalika kwa CCM tu,

bali pia kuaminika, kupendwa na kuvutia kwa CCM kwa makundi mbalimbali ya urika nchini...

ulaumu, usilaumu. Upende, usipende. CCM ushindi ni Lazima gentleman, na iko wazi kitaifa na kimataifa 🐒
 
Ukiukwaji ni mkubwa tena unafanyika wazi wazi mbele ya jamii bila hofu yeyote kwa wahusika. Waziri wa TAMISEMI yupo, Tume ya Uchaguzi ipo, Vyombo vya sheria vipo. Lakini....

1. Watoto chini ya miaka 18 wanaandikishwa, ushahidi wa picha upo.

2. Makarani wanaenda nyumbani kulala na vitabu vya wapiga kura.

3. Karani wanaruka mistari na orodha ya namba kwenye vitabu vya wapiga kura.

4. Mawakala wa vyama vya upinzani hawaruhusiwi kujua idadi ya waliojiandikisha siku hiyo.

5. Watendaji wa serikali za mitaa kujiona miungu watu hawatoi ushirikiano kwa wadau tofauti na viongozi wa CCM.

6. Uwepo wa vituo nyumbani kwa viongozi na majengo ya CCM.

7. Uwepo wa vituo hewa vya kuandikisha wapiga kura.

8. Walimu kuhusika na kutoa majina ya wanafunzi wa shule zao kuandikishwa bila kufuata utaratibu.

Kama wahusika hawachukui hatua yeyote ni wakati sasa kwa Chama cha Wanasheria Tanganyika TLS kuingilia kati.

CC: Rais TLS Boniface Mwabukusi.

Hao mpaka uchaguzi wao, ndiyo utawasikia. Nje ya uchaguzi wao, ni kama mamba tu ukimfumania nchi kavu.
 
Ukiukwaji ni mkubwa tena unafanyika wazi wazi mbele ya jamii bila hofu yeyote kwa wahusika. Waziri wa TAMISEMI yupo, Tume ya Uchaguzi ipo, Vyombo vya sheria vipo. Lakini....

1. Watoto chini ya miaka 18 wanaandikishwa, ushahidi wa picha upo.

2. Makarani wanaenda nyumbani kulala na vitabu vya wapiga kura.

3. Karani wanaruka mistari na orodha ya namba kwenye vitabu vya wapiga kura.

4. Mawakala wa vyama vya upinzani hawaruhusiwi kujua idadi ya waliojiandikisha siku hiyo.

5. Watendaji wa serikali za mitaa kujiona miungu watu hawatoi ushirikiano kwa wadau tofauti na viongozi wa CCM.

6. Uwepo wa vituo nyumbani kwa viongozi na majengo ya CCM.

7. Uwepo wa vituo hewa vya kuandikisha wapiga kura.

8. Walimu kuhusika na kutoa majina ya wanafunzi wa shule zao kuandikishwa bila kufuata utaratibu.

Kama wahusika hawachukui hatua yeyote ni wakati sasa kwa Chama cha Wanasheria Tanganyika TLS kuingilia kati.

CC: Rais TLS Boniface Mwabukusi.
Katiba Iko wazi

Hata wewe unaweza kwenda mahakamani
 
Kesi ipo mahakamani kupinga uchaguzi kusimamiwa na TAMISEMI.
Wala hawatoboi hawa watu wana Akili sana ila ya negative side, Ona kama ngorongoro, Mtu aliye fungua kesi kagoma kuwa hajafungua kesi hajahudhuria mahakamani hata siku moja alafu anaambiwa kashinda wewe huoni kama hayo ni mazingaombwe
 
Back
Top Bottom