Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
sio kukubalika kwa CCM tu,Huko ndiko kukubalika kwa ccm kwamba itashinda kw ushindi wa kishindo labda kishindo cha kuiba na figisu na utumiaji wa policcm ili mambo yenu yaende.
Ccm bila ya figisu haina uwezo wa kushinda hata kwa 20% , mtafiti uchwara.
bali pia kuaminika, kupendwa na kuvutia kwa CCM kwa makundi mbalimbali ya urika nchini...
ulaumu, usilaumu. Upende, usipende. CCM ushindi ni Lazima gentleman, na iko wazi kitaifa na kimataifa 🐒