sio kukubalika kwa CCM tu,Huko ndiko kukubalika kwa ccm kwamba itashinda kw ushindi wa kishindo labda kishindo cha kuiba na figisu na utumiaji wa policcm ili mambo yenu yaende.
Ccm bila ya figisu haina uwezo wa kushinda hata kwa 20% , mtafiti uchwara.
Ukiukwaji ni mkubwa tena unafanyika wazi wazi mbele ya jamii bila hofu yeyote kwa wahusika. Waziri wa TAMISEMI yupo, Tume ya Uchaguzi ipo, Vyombo vya sheria vipo. Lakini....
1. Watoto chini ya miaka 18 wanaandikishwa, ushahidi wa picha upo.
2. Makarani wanaenda nyumbani kulala na vitabu vya wapiga kura.
3. Karani wanaruka mistari na orodha ya namba kwenye vitabu vya wapiga kura.
4. Mawakala wa vyama vya upinzani hawaruhusiwi kujua idadi ya waliojiandikisha siku hiyo.
5. Watendaji wa serikali za mitaa kujiona miungu watu hawatoi ushirikiano kwa wadau tofauti na viongozi wa CCM.
6. Uwepo wa vituo nyumbani kwa viongozi na majengo ya CCM.
7. Uwepo wa vituo hewa vya kuandikisha wapiga kura.
8. Walimu kuhusika na kutoa majina ya wanafunzi wa shule zao kuandikishwa bila kufuata utaratibu.
Kama wahusika hawachukui hatua yeyote ni wakati sasa kwa Chama cha Wanasheria Tanganyika TLS kuingilia kati.
CC: Rais TLS Boniface Mwabukusi.
Katiba Iko waziUkiukwaji ni mkubwa tena unafanyika wazi wazi mbele ya jamii bila hofu yeyote kwa wahusika. Waziri wa TAMISEMI yupo, Tume ya Uchaguzi ipo, Vyombo vya sheria vipo. Lakini....
1. Watoto chini ya miaka 18 wanaandikishwa, ushahidi wa picha upo.
2. Makarani wanaenda nyumbani kulala na vitabu vya wapiga kura.
3. Karani wanaruka mistari na orodha ya namba kwenye vitabu vya wapiga kura.
4. Mawakala wa vyama vya upinzani hawaruhusiwi kujua idadi ya waliojiandikisha siku hiyo.
5. Watendaji wa serikali za mitaa kujiona miungu watu hawatoi ushirikiano kwa wadau tofauti na viongozi wa CCM.
6. Uwepo wa vituo nyumbani kwa viongozi na majengo ya CCM.
7. Uwepo wa vituo hewa vya kuandikisha wapiga kura.
8. Walimu kuhusika na kutoa majina ya wanafunzi wa shule zao kuandikishwa bila kufuata utaratibu.
Kama wahusika hawachukui hatua yeyote ni wakati sasa kwa Chama cha Wanasheria Tanganyika TLS kuingilia kati.
CC: Rais TLS Boniface Mwabukusi.
Wala hawatoboi hawa watu wana Akili sana ila ya negative side, Ona kama ngorongoro, Mtu aliye fungua kesi kagoma kuwa hajafungua kesi hajahudhuria mahakamani hata siku moja alafu anaambiwa kashinda wewe huoni kama hayo ni mazingaombweKesi ipo mahakamani kupinga uchaguzi kusimamiwa na TAMISEMI.