Hivi tofauti ya mwendokasi na daladala ni nini kama unawesa kulisubilia lisaa lizima kituoni?

Hivi tofauti ya mwendokasi na daladala ni nini kama unawesa kulisubilia lisaa lizima kituoni?

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Hivi sisi waafrika tunawezq nini hususani watanzania? UDART inakufa afadhri kupanda daladala kuliko kupanda hizi takataka wanazoita mwendo kasi.

Kutokq moroco tu mpaka kariakoo unatumia masaa matatu? Sasa dhana ya mwendokasi
 
Tunachoweza ni hiki
IMG-20241007-WA0000.jpg
 
Na sio tu kulisubiria bado likija unakosa siti, mnabanana kama mafungu ya nyanya, bado mwendo wenyewe ni wa kusua sua saana.
Kifupi mwendokasi ni daladala zilizochangamka
 
Hivi sisi waafrika tunawezq nini hususani watanzania? UDART inakufa afadhri kupanda daladala kuliko kupanda hizi takataka wanazoita mwendo kasi.

Kutokq moroco tu mpaka kariakoo unatumia masaa matatu? Sasa dhana ya mwendokasi
Sahv tunachojuwa ni kukatika mauno tu, na kushabikia wale madem wenye makalio makubwa na kuwapa nafasi fulani

Ova
 
Mbona Mambo haya nchi nzima mkuu, Mabus yameoza ukiyaangalia unabaki unajiuliza Maswali mengi bila ya majibu.

Acha wale ndo wanachokiweza buana
 
Back
Top Bottom