Hivi TPB wameshaita second interview baada ya ile

Hivi TPB wameshaita second interview baada ya ile

Ntajitahidi mkuu! Ila nao kwani general questions hawawezi kutoa hadi iwe mihesabu tu 95% ??[emoji848]
Wanajua hesabu ni tatizo wengi hawaezi na bahati mbaya hesabu kama hujui hujui tu huwezi jifunza ukubwani huwezi sema uanze kukaza kusoma mana inand hesabu usome uelewe na upige tizi za kutosha za solving ni balaa
 
Daaah!! Nimekosa Pia. Ila Mungu wetu ni mkubwa, kwa idadi ya watu waliokuepo. Kupita ilikua ni bahati nasibu sanaa.
 
Tukutane TPB BANK Dear candidates kila hatua Dua ,kama umekosa usikate tamaa a mapambano yanaendelea nitazidi kuwapa update
 
Daaah!! Nimekosa Pia. Ila Mungu wetu ni mkubwa, kwa idadi ya watu waliokuepo. Kupita ilikua ni bahati nasibu sanaa.
Mdogo wangu naona kaitwa. Sijui wameitwa wangapi lkn nimemshauri aende afanye kama fainali ya kombe la dunia na aamini kuwa nafasi moja ni yake. Utawala wa mama samia huu na baraka zake
 
Back
Top Bottom