Hivi TRA kwa sasa hawatangazi makusanyo kila mwezi?

Hivi TRA kwa sasa hawatangazi makusanyo kila mwezi?

Mimi sijui zinanipita habari hizi maana sijaona muda tra wakitangaza makusanyo ile kila mwezi kama zamani au utaratibu umebadilika
Fedha za Kutangazwa hazipo tena kwakuwa hivi sasa kila Mtanzania anakusanya za Kwake na Kujitangazia Wenyewe tulizozikusanya Mioyoni Mwetu.
 
Haya mtoa mada mwenye kiherehere na viherehere woote kwa ujumla wenu mmetangaziwa huku "angalieni mjiridhishe ili muifurahishe mioyo yenu mpate na kamisheni zenu za kukaguakagua"
SISI WENGINE TUNAANGALIA TU.
Shule zinajengwa?👍
Barabara zinajengwa?👍
Huduma mahospitali zipo?
👍
Miundombinu mingine?👍
Miradi viporo inaendelezwa👍
 
Hawawezi kutangaza makusanyo wakati hawakusanyi kila mtu anakula kwa urefu wake kamishna kama hayupo vile na maswala ya kuumiza kulipa kodi hayapo tena na Kitengo cha Elimu ya mlipa kodi kipo likizo, wamebaki kuibia wanyonge kupitia tozo ndiyo akili zao zilipo ishia.
Acha porojo na ujinga mwingi
 
Fedha za Kutangazwa hazipo tena kwakuwa hivi sasa kila Mtanzania anakusanya za Kwake na Kujitangazia Wenyewe tulizozikusanya Mioyoni Mwetu.
Mkuu sasa hivi wanatangaza mikopo tu waliyokopa kwa wazungu.
 
Unataka tuwe tunatangaziwa mapato kanjanja kama ya wakati ule!,Tunachotaka ni ukusanyaji ufanyike na mambo yaendelee kama sasa miradi yote inasonga mbele mabarabara yanajengwa mishahara inalipwa what's else!
::Ukitangaziwa itakusaidia nini?
Haustahili kuwa jukwaa hili, hivi hakuna majukwaa ya watoto?
 
Haya mtoa mada mwenye kiherehere na viherehere woote kwa ujumla wenu mmetangaziwa huku "angalieni mjiridhishe ili muifurahishe mioyo yenu mpate na kamisheni zenu za kukaguakagua"
SISI WENGINE TUNAANGALIA TU.
Shule zinajengwa?👍
Barabara zinajengwa?👍
Huduma mahospitali zipo?
👍
Miundombinu mingine?👍
Miradi viporo inaendelezwa👍
Kwani ikitangazwa wewe unapata asara gani na kwanin unaumia wanaposema kutangazwa, mwanafunzi anayepata zero mara kwa mara hawezi kufurahia kutangazwa kwa matokeo ya mtihani waliofanya. Punguza ujinga, hizo ni hela zetu lazma tujue kiasi tulichochanga kwa ujumla wake na sisi ndio wenye mamlaka ya kuwaamuru watangaze au wasitangaze.Ila nchi hii mijitu mijinga ni mingi sana.
 
Mimi sijui zinanipita habari hizi maana sijaona muda TRA wakitangaza makusanyo ile kila mwezi kama zamani au utaratibu umebadilika?
kumbe miezi mitatu ya mwanzo ilikuwa bado haijaisha naona wameshatangaza makusanyo
TRA MAKUSANYO.jpg
TRA MILLARD.jpg
 
Back
Top Bottom