GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Fedha za Kutangazwa hazipo tena kwakuwa hivi sasa kila Mtanzania anakusanya za Kwake na Kujitangazia Wenyewe tulizozikusanya Mioyoni Mwetu.Mimi sijui zinanipita habari hizi maana sijaona muda tra wakitangaza makusanyo ile kila mwezi kama zamani au utaratibu umebadilika
Haya mtoa mada mwenye kiherehere na viherehere woote kwa ujumla wenu mmetangaziwa huku "angalieni mjiridhishe ili muifurahishe mioyo yenu mpate na kamisheni zenu za kukaguakagua"
Acha porojo na ujinga mwingiHawawezi kutangaza makusanyo wakati hawakusanyi kila mtu anakula kwa urefu wake kamishna kama hayupo vile na maswala ya kuumiza kulipa kodi hayapo tena na Kitengo cha Elimu ya mlipa kodi kipo likizo, wamebaki kuibia wanyonge kupitia tozo ndiyo akili zao zilipo ishia.
Mkuu sasa hivi wanatangaza mikopo tu waliyokopa kwa wazungu.Fedha za Kutangazwa hazipo tena kwakuwa hivi sasa kila Mtanzania anakusanya za Kwake na Kujitangazia Wenyewe tulizozikusanya Mioyoni Mwetu.
Haustahili kuwa jukwaa hili, hivi hakuna majukwaa ya watoto?Unataka tuwe tunatangaziwa mapato kanjanja kama ya wakati ule!,Tunachotaka ni ukusanyaji ufanyike na mambo yaendelee kama sasa miradi yote inasonga mbele mabarabara yanajengwa mishahara inalipwa what's else!
::Ukitangaziwa itakusaidia nini?
Kwani ikitangazwa wewe unapata asara gani na kwanin unaumia wanaposema kutangazwa, mwanafunzi anayepata zero mara kwa mara hawezi kufurahia kutangazwa kwa matokeo ya mtihani waliofanya. Punguza ujinga, hizo ni hela zetu lazma tujue kiasi tulichochanga kwa ujumla wake na sisi ndio wenye mamlaka ya kuwaamuru watangaze au wasitangaze.Ila nchi hii mijitu mijinga ni mingi sana.Haya mtoa mada mwenye kiherehere na viherehere woote kwa ujumla wenu mmetangaziwa huku "angalieni mjiridhishe ili muifurahishe mioyo yenu mpate na kamisheni zenu za kukaguakagua"
SISI WENGINE TUNAANGALIA TU.
Shule zinajengwa?👍
Barabara zinajengwa?👍
Huduma mahospitali zipo?
👍
Miundombinu mingine?👍
Miradi viporo inaendelezwa👍
kumbe miezi mitatu ya mwanzo ilikuwa bado haijaisha naona wameshatangaza makusanyoMimi sijui zinanipita habari hizi maana sijaona muda TRA wakitangaza makusanyo ile kila mwezi kama zamani au utaratibu umebadilika?