myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Duh!Ukiona wanaelekeza kidole Kenya tayari wamshindwa, hehehe Tanzania huwa nchi ya ajabu sana, yaani ni rahisi sana kuwapumbaza raia wake, ukishindwa kitu itaje tu Kenya, wote wataelekeza pua Kenya na kukuacha.
Bado hajapatikana kuna Bonge la movie linaendelea Sterling akiwa siloNimetazama BBC si kitambo kuhusu taarifa ya kutekwa nyara kwa mwanabishara maarufu kule bongo...Naskia familia ya Trillionaire huyu wameamua kutoa $430,000 ili aachiliwe salama...Ni hatari sana jamaa kama huyu anapotekwa mchana peupe..
😀😀😀duh kwa filamu huwa hamchelewi kabisaBado hajapatikana kuna Bonge la movie linaendelea Sterling akiwa silo
unauliza au unajibu? tuulizni tuwaazime intelligence agency mwone trilionea akirudishwa nyumbani salama na watekaji wakikamatwa mara moja...
Tuko episode ya pili tunasubili nadhani hii ni series kabisa mkuu.😀😀😀duh kwa filamu huwa hamchelewi kabisa
hahahaha...heri yetu kuliko hio yenu ambao matrilionea wanatekwa nyara mchana peupe...madiwani wanapigwa marisasi na kuchinjwa kwa panga...we imagine trilionea na diwani mzima wanatekwa nyara na kupotea kabisa...sembuse wewe mlalahoi toka manzese usie na mbele wala nyuma...Zikachukue uzoefu huko somali kwanza kabla ya kuleta kiherehere huku,askari wanakufa kila siku huko mnalipa watu mshahara wakijiita intellijensia.
Tofautisha KUCHEKA na KUCHEMKA wewe!Kumcheka nani wewe kima?
kwa taarifa yako what you wrote is less than what the family promised. Ujuaji mwingi umeishia kuboronga, tzs 1 billion isn't exactly $430,000smh...so ulitaka niandike kwa tzs au??😀😀haya mimi tzs siitambui maana mimi mkenya...ndio maana nikaandika kwa dola za marekani...hela ambazo sote tutaelewa kiasi chake maana usd ni universal currency😀😀😀comprende? mbona unawashwa washwa hivi?
1 billion ni hicho kichwa chako maembe....tzs nimekwambia mimi apana tambua hela madafu..ninapoenda dukani kununua bidhaa siendi na mfuko uliojaa mihela madafu... umeskia?😀😀 kisha $430,000 nimeitoa kwenye gazeti liitwalo The Guardian..sijaandika tu bure...Mohammed Dewji kidnap: family offer £330k reward for billionaire's safe returnkwa taarifa yako what you wrote is less than what the family promised. Ujuaji mwingi umeishia kuboronga, tzs 1 billion isn't exactly $430,000
wewe ni mpuuzi au hujapata taarifa vizuri, that amount wasn't exactly what was promised by the family, BBC ipi umeitoa taarifa hii?1 billion ni hichi kichwa chako maembe....tzs nimekwambia mimi apana tambua hela madafu..ninapoenda dukani kununua bidhaa siendi na mfuko uliojaa mihela madafu... umeskia?😀😀 $430,000 kwisha
pumbavu mkubwa ww $430,000 nilisoma hapo awali kwenye gazeti liitwalo The Guardian..sijaandika tu bure. ila basi tuambie ni hela kiasi gani haswa maana naona wewe ni mjuaji sana? na usiniambie kwa hela madafu maana bilioni moja mimi najua ni 10 million USD tukizingatia pesa za kenya..wewe ni mpuuzi au hujapata taarifa vizuri, that amount wasn't exactly what was promised by the family, BBC ipi umeitoa taarifa hii?
swadakta now that I have you where I wanted you to be, let's argue.pumbavu mkubwa ww $430,000 nilisoma hapo awali kwenye gazeti liitwalo The Guardian..sijaandika tu bure. ila basi tuambie ni hela kiasi gani haswa maana naona wewe ni mjuaji sana? na usiniambie kwa hela madafu maana bilioni moja mimi najua ni 10 million USD tukizingatia pesa za kenya..
And which is which stupid? The guardian or BBC?pumbavu mkubwa ww $430,000 nilisoma hapo awali kwenye gazeti liitwalo The Guardian..sijaandika tu bure. ila basi tuambie ni hela kiasi gani haswa maana naona wewe ni mjuaji sana? na usiniambie kwa hela madafu maana bilioni moja mimi najua ni 10 million USD tukizingatia pesa za kenya..
Nimetazama BBC si kitambo kuhusu taarifa ya kutekwa nyara kwa mwanabishara maarufu kule bongo...Naskia familia ya Trillionaire huyu wameamua kutoa $430,000 ili aachiliwe salama...Ni hatari sana jamaa kama huyu anapotekwa mchana peupe..
Ukiona wanaelekeza kidole Kenya tayari wamshindwa, hehehe Tanzania huwa nchi ya ajabu sana, yaani ni rahisi sana kuwapumbaza raia wake, ukishindwa kitu itaje tu Kenya, wote wataelekeza pua Kenya na kukuacha.
Tupo wengi ni vile hatupendi kiki.hivi kenya kuna tajiri kumzidi Mo ? anaitwa nani na ana utajiri kiasi gani naomba kujuzwa
Tupo wengi ni vile hatupendi kiki.
jibu swali lote kwa ufasaha mkuu ,usijibu kama umekoswakoswa na alshababi wa westgate au garissaTupo wengi ni vile hatupendi kiki.
View attachment 903209View attachment 903212familia ya huyu jamaa wangefanya kuandika intelligent agencies ya Kenya au ya ng'ambo...hawa bongolala tu vichwa maembe