BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Form Four Droup out huyuElimu yako tafadhari, kabla sijakujibu
Kuwa na thamani kubwa ya pesa haimanishi mna uchumi imara, Zambia wana Export Shaba pekee, Kuwa na pesa yenye thamani kubwa kuna madhala kuliko faidaZambia wanatuzidi nini kiuchumi?
Sorry, yawezekana una point, lakin unaweza kunielezea like unamsimulia mtoto wa darasa la kwanza!.Central bank wanaouwezo wa kuprint new currency yenye value kubwa tatizo linakuja ktk international trade especially in export kunakuwa na ushindani mkubwa and sometimes unaweza ukakosa soko LA nje
unaweza Ku adopt foreign curreny if inflation reach uncontrolled situation currency depreciation huwa inapunguza demand ya hio currency lakin kutumia currency za nje kuna madhara mengi
Fedha za nchi nyingi ambazo zimeshuka sana thamani, zimefanya dollarization, yaani wanatumia fedha isisyo yao.Kwema wakuu.
Maisha yetu yanakuwa magumu, fedha yetu inakosa thamani. Hivi kama taifa likatelekeza shilingi na kuanza kutumia dolar ya Marekani tataathirika ama kufaidika na nini?
Sera babaishi za kodi ndio zinatufikisha hapaTechnically Tanzania tunatatizo la balance of trade yaan import>export
hii ndio hasa sababu demand ya pesa yetu ipo chini koz hatuuzi bidhaa nyingi nje Ila tunanunua bidhaa nyingi nje
Hata wewe elimu yako inatia mashaka.Elimu yako tafadhari, kabla sijakujibu
Umeuliza swali zuri sana kijana na sijaiona mtu yeyote alieweza kulijibu.Kwema wakuu.
Maisha yetu yanakuwa magumu, fedha yetu inakosa thamani. Hivi kama taifa likatelekeza shilingi na kuanza kutumia dolar ya Marekani tataathirika ama kufaidika na nini?
Angalia rate ya import and export.
Sisi tunaimport sana lazima isababishe currency devaluation ila kuendana na soko Ina maana tuna demand kubwa ya vitu kutoka nje kuliko wao kututegemea sisi ..
Trade imbalance ndo chanzo kikubwa kama unabisha miaka ya nyuma baada ya uhuru fedha yetu haikuwa chini sana against dollar ila sasa tunaimport mavitu mengi Hadi luxurious goods kama magari lazima tuumie upande wetu..
Kama tunaweza kuweka mikakati sahihi ya kufanya biashara za uhakika na kuteka soko la dunia taratibu utaona thamani inapanda.
Be straight, tukitumia US dollar Badala ya Tsh madhara ni yepi na faida ni ipi kama ipo?Central bank wanaouwezo wa kuprint new currency yenye value kubwa tatizo linakuja ktk international trade especially in export kunakuwa na ushindani mkubwa and sometimes unaweza ukakosa soko LA nje
unaweza Ku adopt foreign curreny if inflation reach uncontrolled situation currency depreciation huwa inapunguza demand ya hio currency lakin kutumia currency za nje kuna madhara mengi
Mi nadhani wewe ndie unaepaswa kutufahamisha kiwango cha elimu yako!Elimu yako tafadhari, kabla sijakujibu
yes in kweli kabisa solo la dunia linaushindan mkubwa kuongeza thaman ya currency in sawa na kipandisha bei ya kile unachokiuza sokon sio rahisi koz solo la dunia halipo free kuna competition so kuwa na curreny yenye low value inasababisha tuuze bidhaa zetu ghafi kwa bei ndogo yenye kukubalika sokonKuwa na thamani kubwa ya pesa haimanishi mna uchumi imara, Zambia wana Export Shaba pekee, Kuwa na pesa yenye thamani kubwa kuna madhala kuliko faida
Kuwa na thamani kubwa ya pesa haimanishi mna uchumi imara, Zambia wana Export Shaba pekee, Kuwa na pesa yenye thamani kubwa kuna madhala kuliko
Elimu Elimu Elimu.
Zimbabwe unarudishiwa chenji dollarImagine unanunua mkate kisha unalipa USD 100 chenji inakuwaje πππ!
Tooth pick nazo mkuu usisahauHapa ndo tatizo kama nyembe, sindano, vyombo bado tuna import tu
ninaweza kukuunga mkono. mfano parachichi letu ni bora lakini linapitia kenya then abroad . unafikiri tunakwama wapi sisi kwenye issue za kutafuta masoko ili tuwe na high exportations??Shilingi yetu ipo vizuri ila tatizo hatuna export kubwa kuliko import, that's why Kenya wanatuzidi kwa sababu wanaimport bidhaa zetu kwao na wanaexport kwenda nje kwa thamani kubwa zaidi.
Serikali inapoinject fedha katika mzunguko huwa haifikii walengwa au dhumuni husika.
Wewe ndio hujaelimika.
mtoa mada kaweka uzi ili aeleweshwe wewe unamsimanga