Hivi tukiamua kuachana na shilingi tukatumia dolar itakuwaje?

Hivi tukiamua kuachana na shilingi tukatumia dolar itakuwaje?

Zimbabwe [emoji1269] bado wanatumia usd, pound na rand, nimepita juzi kati mabadiliko yanatia hamasa, nchi inaaza kurudi ilikukua kabla ya Dictator Mugabe to make a huge mess, Harare to Chilundu carriageway inakua bora, tuelewe wote wanakimbiza soko la DRC, sisi T1 bado tunapiga hadithi nayo, nimetoa mfano huu kuonyesha unaweza kutumia foreign currencies, ila binafsi sipendi ni vema tukaondoa zero kwenye notes zetu,then tuache politics, tufanye kazi In a smart way
Ukiondoa zero na bidhaa nazo utaondoa zero?
 
Sisi hakuna vita kwa hiyo bado tuna uwezo wa kuzalisha sana ili kuuza nje na kupata fedha za kigeni kama $

Tatizo letu ni kuwa wengi wanaopata nafasi katika serikali hawataki kabisa kutetea nchi badala yake wanakuwa watu wa maslahi yao tu na sio nchi

Sasa nini faida ya kuwapa majukumu watuongoze kama hawataki hata kuruhusu watu kufungua viwanda au kulima cash crops na kuuza nje kwa wingi?

Wenye hela wanakuja kutaka mpaka kufungua viwanda vikubwa vikubwa

Ila wakisikia mtu kaja na hela nyingi sana, idara zote husika mpaka Taku watahoji

Ndio maana mtu anaona akawekeza kwa Pk kuliko kwetu
 
Kila aliyejibu amejibu kitu ninachokifahaamu. Bado sijajibiwa swali langu
 
ninaweza kukuunga mkono. mfano parachichi letu ni bora lakini linapitia kenya then abroad . unafikiri tunakwama wapi sisi kwenye issue za kutafuta masoko ili tuwe na high exportations??
Sisi wenyewe tunaweza kutafuta masoko nje na kudeliver ila sasa watu wengi hawana business skills necessary to interact with abroad markets pamoja na lack of exposure.
 
aisee hapo kwenye exposure na uwezo wa kushawishi
Ndipo tumepitwa sana kwa sababu wengine wanajua kingereza, na wapo fluent kwenye exposure. Kwa mfano nilikshawahi pewa malalamiko na wakenye pamoja na wanigeria kuwa sisi watz ni wavivu sana na tupo tupo tu. Na ndio maana wao wanakuja kupiga hela nyingi sana na kupewa vyeo vikubwa kwenye makampuni yetu na sisi tukiambulia nafasi za ulinzi na majikoni huko 😂
 
Back
Top Bottom