Hivi tukiamua 'tusifanye' mwaka mzima ni nani watakaoteseka sana WANAUME au WANAWAKE?

Hivi tukiamua 'tusifanye' mwaka mzima ni nani watakaoteseka sana WANAUME au WANAWAKE?

Kwa wanawake Inawezekana sana.Waweza kaa hata miaka zaidi ya mitano bila hyo kitu.ni kujiweka busy wala hutasumbuka wala hutakuimbuka
 
nyumba za ibada zitajaa..uzinifu,ulevi pamoja na social unrest(ubakaji,ugoni nk.)vitapungua kwa kiwango fulani,ila saikologikali tutaadhirika wote m and f.
 
Binafsi nikijitahidi sana kuvumilia mwisho miezi 3 zaidi ya hapo hua napoteza furaha kabisa yaani sijui ni tatizo mungu wangu!!!!
 
Mmmmh,mi nna mwaka na nusu sasa sijamchungulia bnt,sion tatzo
i support you, inawezekana kabisa kwa mwanamume mwenye mipango sahihi na kujijali/kujiheshimu na bado ukaendelea kuwa rijali... big up mkuu keep it up...:A S-key:
 
Mmmmh hili la kukaa mwaka mzima ni kama ndoto vile
 
Umeshasema "mkiamua" sasa mtanyanyasika nini?Kwani mmelazimishwa?Nwy kuna wanaume na wanawake wasiochukulia sex kama chakula na wengine mpaka kununua wako tayari kwahiyo kiasi fulani kutoka kila upande wataona shida!
 
Nyie hapo.

Nawaonea huruma watoto wadogo ,mbuzi kuku na mifugo mingine, vitabakwa mpaka vikimbilie porini na kuwa wanyapori wa kisasa

Kwa wanawake Inawezekana sana.Waweza kaa hata miaka zaidi ya mitano bila hyo kitu.ni kujiweka busy wala hutasumbuka wala hutakuimbuka

Mmmmh hili la kukaa mwaka mzima ni kama ndoto vile







Ah wapi mbona mimi namaliza mwaka wa tano sasa bila sex na sina tatizo lolote lile na sio kwamba wananikataa au vipi maana ninapoishi mtaa wa pili tu kuna wale wadada wanaojianika kwenye red light na wala huwa sipiti mtaa huo.Tatizo ni kuwa watu tunajiendekeza tu ila inawezekana na hakuna shida yeyote kiafya.Katika kukujibu swali lako ni nini kitatokea au itakuwaje ni kuwa tutakosa watoto kwa miaka takriban miwili hivi, hivyo litakuwa ni tukio la kihistoria kwa mwanadamu.
 
Ah wapi mbona mimi namaliza mwaka wa tano sasa bila sex na sina tatizo lolote lile na sio kwamba wananikataa au vipi maana ninapoishi mtaa wa pili tu kuna wale wadada wanaojianika kwenye red light na wala huwa sipiti mtaa huo.Tatizo ni kuwa watu tunajiendekeza tu ila inawezekana na hakuna shida yeyote kiafya.Katika kukujibu swali lako ni nini kitatokea au itakuwaje ni kuwa tutakosa watoto kwa miaka takriban miwili hivi, hivyo litakuwa ni tukio la kihistoria kwa mwanadamu.

mwaka wa tano tu.
 
The will power to abstain is dependant on a person not a person's gender. Ila that said ,trend has shown males to be on the weaker side than females
 
hio haitawezekana mie lazima niwe msaliti na kuitafuta mbunye kinyemela.Hivi kweli Mungu atake binadamu 2pinge!
 
mkuu uko Sahihi kabisa..ni hisia tuu na mawazo..ukijiweka busy na shughuli zako na mazoezi ya viungo kwa sana/ukatoa hisia za kungonoka inawezekana kuishi muda mrefu bila ngono
Inawezekana
 
Sabuni zitanunuliwa sana na bei ya sabuni itapanda maradufu.
 
haya wee... si walisema ukitaka kujua uhondo wa ngoma uingie ucheze! BASI na tujaribu kwanza ndio tutajua!
 
Wanawake ndio watateseka sana, kwani wanaume wana unvoluntary mechanical way ya kupunguza stress; mf kwa kuota!


MIE nina miaka mitatu wala siteseki..............................inategemea akili yako inakuendesha vipi.


hahahaaaa
 
Nataka kuperuzi forum ya "mambo ya kikubwa" Nifanyaje? Sielewi, help me please.
 
Kwa manaume ambae alishaionja **ma hawezi kumaliza wiki 2 atapata tabu sana,ile kitu sio mchezo.
 
Back
Top Bottom