Hivi tukitumia DDT hatuwezi kuondokana kabisa na mbu na hatimae kuagana na Malaria?

Hivi tukitumia DDT hatuwezi kuondokana kabisa na mbu na hatimae kuagana na Malaria?

IMG_8588.jpg


Wikipedia wanasema kabisa ilitumika kwaajili ya kuua mazalia ya Malaria.
Kuna mada niliwahi leta huku, badala ya kutumia billions kuagiza madawa nje ni bora nusu ya hizo pesa zitumike kufanya fumigation kwenye miji ambayo kuna case kubwa za Malaria kama Dar na Morogoro

Kabla ya mkutano wa SADDC Wizara ya afya walikua wanapuliza dawa mji mzima usiku, hii inaonyesha uwezo wa kukabiliana na Malaria tunaweza lakini shida ni biashara ya Dawa itakufa na misaada/ research zitapungua.
 
Ila kwa South Africa na nchi zingine zilizoruhusiwa hakuna samaki? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], hivi mnapata faida gani mnapotoa ubongo kichwani na kujaza funza?
Sure aisee nimesoma pahala South Africa wanaitumia na imesaidia sana kutokomeza malaria kwanini sie tunasikiliza hawa jamaa?....nawaza wataalamu wetu wangefanya utafiti independent kisha waje na proposal tuagize mzigo India tuue mbu wote malaria itokomee
 
Si useme tu unataka tu me muuza neti nirudi kimbiji
 
Kile kiwanda kilichopo pwani, cha kutengeneza kiwatirifu cha kuua mbu, kilifia wapi??kwani kilizinduliwa kwa mbwembwe, kuwa ni cha kwanza afrika!!
Kipo mkuu na nilishiri ujenzi wake, alikuja mpaka waziri mkuu wa Ethiopia kwenye uzinduzi. kinafukaga moshi tuu pale lakini sijui matokeo yake.
 
Sure aisee nimesoma pahala South Africa wanaitumia na imesaidia sana kutokomeza malaria kwanini sie tunasikiliza hawa jamaa?....nawaza wataalamu wetu wangefanya utafiti independent kisha waje na proposal tuagize mzigo India tuue mbu wote malaria itokomee
Shida ni masharti ya msaada, wanasema ukitaka msaada wa madawa na neti za mbu sharti usitumia DDT
 
Back
Top Bottom