chizcom JF-Expert Member Joined Jul 31, 2016 Posts 8,680 Reaction score 18,035 Jan 4, 2023 #1 Huu mgogoro ulifikia wapi mpaka leo, maana ramani zinaonesha ni ziwa malawi na sio ziwa nyasa? Na mipaka inaonesha utakiwi kugusa hata maji. Je, kanuni gani mpaka sasa na solution ipi imechukuliwa?
Huu mgogoro ulifikia wapi mpaka leo, maana ramani zinaonesha ni ziwa malawi na sio ziwa nyasa? Na mipaka inaonesha utakiwi kugusa hata maji. Je, kanuni gani mpaka sasa na solution ipi imechukuliwa?
luangalila JF-Expert Member Joined Jan 12, 2014 Posts 6,346 Reaction score 6,928 Jan 4, 2023 #2 Ww tambua hilo ni lake Nyasa itoshe Na vyombo vya ulinzi bipo kazini kule Na hali ni shwari hakuna choko choko mama joyce Banda alisha jikanyaga akala mweleka Mchuhaji Lazarus na yy hana mambo yq kugombea maji maana anajua vyote ni mali ya Bwana
Ww tambua hilo ni lake Nyasa itoshe Na vyombo vya ulinzi bipo kazini kule Na hali ni shwari hakuna choko choko mama joyce Banda alisha jikanyaga akala mweleka Mchuhaji Lazarus na yy hana mambo yq kugombea maji maana anajua vyote ni mali ya Bwana
K Kwa Gadie JF-Expert Member Joined Mar 5, 2022 Posts 235 Reaction score 447 Jan 4, 2023 #3 Waliite ivoivo tu as long as kila mtu anatumia maji yake kwa mipaka yake
K KotelaMamba JF-Expert Member Joined Apr 8, 2020 Posts 701 Reaction score 1,241 Apr 12, 2023 #4 Hadi leo Google hawarekebishi. Inamaana Malawi walishinda.
K KotelaMamba JF-Expert Member Joined Apr 8, 2020 Posts 701 Reaction score 1,241 Apr 12, 2023 #5 Kwa Gadie said: Waliite ivoivo tu as long as kila mtu anatumia maji yake kwa mipaka yake Click to expand... Mipaka inaonyesha Tanzania hatuna sehemu kwenye hilo Ziwa. according to Google Map
Kwa Gadie said: Waliite ivoivo tu as long as kila mtu anatumia maji yake kwa mipaka yake Click to expand... Mipaka inaonyesha Tanzania hatuna sehemu kwenye hilo Ziwa. according to Google Map
jay-millions JF-Expert Member Joined Apr 30, 2015 Posts 3,983 Reaction score 10,034 Apr 12, 2023 #6 Tunasibiriq mda sahihi wajichanganye tuwape dozi ya idd amin, nchi ya nyerere haichezewi kamwe