Hivi tuliishia wapi kuhusu Ziwa Nyasa na leo Ziwa Malawi?

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Huu mgogoro ulifikia wapi mpaka leo, maana ramani zinaonesha ni ziwa malawi na sio ziwa nyasa? Na mipaka inaonesha utakiwi kugusa hata maji.

Je, kanuni gani mpaka sasa na solution ipi imechukuliwa?

 
Ww tambua hilo ni lake Nyasa itoshe

Na vyombo vya ulinzi bipo kazini kule

Na hali ni shwari hakuna choko choko mama joyce Banda alisha jikanyaga akala mweleka Mchuhaji Lazarus na yy hana mambo yq kugombea maji maana anajua vyote ni mali ya Bwana
 
Tunasibiriq mda sahihi wajichanganye tuwape dozi ya idd amin, nchi ya nyerere haichezewi kamwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…