Hivi tulivyosoma Slave Trade tulikuwa tunaelewa kweli, au ilimradi liende tu?

Hivi tulivyosoma Slave Trade tulikuwa tunaelewa kweli, au ilimradi liende tu?

Ikitotanzila

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2020
Posts
1,409
Reaction score
2,263
Tumesoma Sana slave trade na moja ya vitu vinavyo leta slavery and na sla e trade low salary as compared to many tasks or duties handled to you.

Point yangu ya msingi Ni kwamba hivi inakuwaje mtu ana degree ya ualimu anaenda kufundisha hizi English medium analipwa laki mbili kwa mwezi na bado anajiita msomi, kweli!

Au mtu ana ba bachelor lakini analipwa pesa ya ajabu kabisa hata Kama yuko serikalini wakati hata bodaboda tu akiamua kufanya kazi yake anamzidi mbali anayelipwa kwa mwezi husani mwalimu wa private na serikali.

Tena Kuna graduates mpaka wanajitolea kabisa mashuleni. Hivi elimu imetusaidia nini au imetuongezea ujinga na utumwa.

Sasa wamasai wakikataa kusoma je kwa nini tunawalaumu wakati anajua akati wasomi wamefany manamba na watumwa na hawajijui kabisa eti kisa anapigilia tai na kuchomekwa ofisini huku hata hela ya kununa bando Anaomba na ana degree
 
Kusoma hakuwezi kua na faida kwa wote, sio wote waliosoma wana hizo hali ulizosema hapo!!

Kwenye msafara wa mamba, kenge pia wamo.
 
Mi sijaelewa kabisa point yako ni nini?

Kwenye Slavery umewahi kusikia kitu “Hiyari “, yaani watu walikuwa na choice?

Unalinganisha vipi hata kama kweli kulipwa ujira mdogo ni vibaya kwenye kazi ambayo mtu ameenda kuiomba mwenyewe?!
 
Hii iko Afrika na nchi nyingine za ulimwengu wa 3 [emoji16]. Watawala wanajikatia fungu kubwa, sisi wengine tunapewa kidogo kilichobaki tugombanie
 
Kwani maana ya slave trade ni kutolipwa vizuri? Mbona wasomi wetu mnatuangusha!
 
Mimi naona wewe ndio ulikimbia shule kama ndio una maana hii kuhusu slave trade..
 
Nimeelewa Point yako, ila hapo theme ya hio mada ni Slavery sio Slave Trade Boss.

Na Hata Slavery ni kitu Broad sana haihusiani directly na hii mada.
 
Tumesoma Sana slave trade na moja ya vitu vinavyo leta slavery and na sla e trade low salary as compared to many tasks or duties handled to you.

Point yangu ya msingi Ni kwamba hivi inakuwaje mtu ana degree ya ualimu anaenda kufundisha hizi English medium analipwa laki mbili kwa mwezi na bado anajiita msomi, kweli!


Au mtu ana ba bachelor lakini analipwa pesa ya ajabu kabisa hata Kama yuko serikalini wakati hata bodaboda tu akiamua kufanya kazi yake anamzidi mbali anayelipwa kwa mwezi husani mwalimu wa private na serikali. Tena Kuna graduates mpaka wanajitolea kabisa mashuleni. Hivi elimu imetusaidia nini au imetuongezea ujinga na utumwa.

Sasa wamasai wakikataa kusoma je kwa nini tunawalaumu wakati anajua akati wasomi wamefany manamba na watumwa na hawajijui kabisa eti kisa anapigilia tai na kuchomekwa ofisini huku hata hela ya kununa bando Anaomba na ana degree
Ofisini atufati mishahara bwashee tunafata urefu wa kamba.Private sector wanatuzidi tu package lakini tulio serikalini tunawazidi kwenye urefu wa kamba.Kazi ni security ya mambo yako yakuendee vizuri watumishi awatupani.Pia ni kwa ajili ya kukopea.
 
Mi sijaelewa kabisa point yako ni nini?
Kwenye Slavery umewahi kusikia kitu “Hiyari “, yaani watu walikuwa na choice?
Unalinganisha vipi hata kama kweli kulipwa ujira mdogo ni vibaya kwenye kazi ambayo mtu ameenda kuiomba mwenyewe?!
Unaipimaje hiyari?
Maisha magumu yamemfanya mtu asiwe na choice.
 
Back
Top Bottom