Hivi tulivyosoma Slave Trade tulikuwa tunaelewa kweli, au ilimradi liende tu?

Hivi tulivyosoma Slave Trade tulikuwa tunaelewa kweli, au ilimradi liende tu?

Slave = Halipwi chochote zaidi ya kupewa chakula na maji ili aishi kuendelea kutumika.

Servant = analipwa ujira. Unaweza kuwa mdogo, wa kati au mkubwa ila lazima alipwe.

Naona umefeli kutofautisha hizo terms mbili hapo. Yaani slave na servant. Mtumwa na Mtumishi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kitu ambacho black ppo bdo hamjui n kwamba slavery haijawai kuisha, tumeambiwa tuu ilkua abolished but co kwel.... nchi zetu bdo n makoloni ya watu weupe. hao weny degree ndo white collar jobs.... wake up black pipo... fight for your rights
 
Back
Top Bottom