Hivi tunalima nini? na kwa ajili ya nani?Hawa foreigners wetu umeachia wakulima wa kigeni wawalishe vyakula?

Hivi tunalima nini? na kwa ajili ya nani?Hawa foreigners wetu umeachia wakulima wa kigeni wawalishe vyakula?

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,872
Reaction score
9,263
Loe nilipita Super Market ya Village Supermarket kununua maji tu ila nikazunguka zunguka hasa sehemu za vyakula, huwa mara nyingi nafanya hivyo.

Kuna vitu vinasgangaza sana Bongo hii,
IMG_20241216_130958.jpg

Pale kwenye vegitable na fruits nilikutana na products asilimia 98 ni imported sana kutoka Kenya labda na south Afruca kwa matunda.
IMG_20241216_130917.jpg


Yaani, hadi Mboga zilizo katwakatawa zikachanganywa karot,i frech beans,hoho na kadhalika tuna import kutoka Kenya.

Spice na Herbal zote hizo ni imported kutoka Kenya.

Hawa jirani wana faidi sana hasa furusa za utalii Tanzania, wao ndio kwa kaisi kikubwa wana feed hoteli za kitalii Tanzania, wakisaidia labda na Wakulima wa Tanzania wachache hasa Wazungy kule Iringa na Arusha.

Sisi tunakomaa na kilimo chetu cha urith tulicho kuta wazazu wetu wanafanya na ndio na sisi tunakiendeleza.

Kwa sababu ku import hadi limao ni aibu kubwa sana.

Na mara zoe watu huja na story za connection ila muulize ana products gani sasa.

Hizi Super Market hakuna cha connections wewe ni uende na products yako quality, na wanacho fanya mnaweza supply lets say mayai watu 5 wote mja mayai ya kuku na yakawekwa kwenye shelf, wateja wanaamua wenyewe wanataka mayai yapi.

Ila kisingizio chetu kikuu huwa ni hicho, huwezi enda pale na product haileweki wachukue.
 
Niliwahi enda hoteli moja hivi na badae Supermaket kutafuta connection ya kuuza matunda yangu.Majibu niliyopewa yalitosha kabisa kuamini watz tuna zarauliana sana
Super Market kubwa au za vichochoroni? na aina zipi za matunda? kule unapeleka high end fruits, yaani matunda ya daraja la kwanza,
 
Loe nilipita Super Market ya Village Supermarket kununua maji tu ila nikazunguka zunguka hasa sehemu za vyakula, huwa mara nyingi nafanya hivyo.

Kuna vitu vinasgangaza sana Bongo hii,
View attachment 3178260
Pale kwenye vegitable na fruits nilikutana na products asilimia 98 ni imported sana kutoka Kenya labda na south Afruca kwa matunda.
View attachment 3178262

Yaani, hadi Mboga zilizo katwakatawa zikachanganywa karot,i frech beans,hoho na kadhalika tuna import kutoka Kenya.

Spice na Herbal zote hizo ni imported kutoka Kenya.

Hawa jirani wana faidi sana hasa furusa za utalii Tanzania, wao ndio kwa kaisi kikubwa wana feed hoteli za kitalii Tanzania, wakisaidia labda na Wakulima wa Tanzania wachache hasa Wazungy kule Iringa na Arusha.

Sisi tunakomaa na kilimo chetu cha urith tulicho kuta wazazu wetu wanafanya na ndio na sisi tunakiendeleza.

Kwa sababu ku import hadi limao ni aibu kubwa sana.

Na mara zoe watu huja na story za connection ila muulize ana products gani sasa.

Hizi Super Market hakuna cha connections wewe ni uende na products yako quality, na wanacho fanya mnaweza supply lets say mayai watu 5 wote mja mayai ya kuku na yakawekwa kwenye shelf, wateja wanaamua wenyewe wanataka mayai yapi.

Ila kisingizio chetu kikuu huwa ni hicho, huwezi enda pale na product haileweki wachukue.
Hakuna mtanzania aliyezuiwa kufanya ila ndiyo hivyo tuko bsy na ujinga mwingi
 
Loe nilipita Super Market ya Village Supermarket kununua maji tu ila nikazunguka zunguka hasa sehemu za vyakula, huwa mara nyingi nafanya hivyo.

Kuna vitu vinasgangaza sana Bongo hii,
View attachment 3178260
Pale kwenye vegitable na fruits nilikutana na products asilimia 98 ni imported sana kutoka Kenya labda na south Afruca kwa matunda.
View attachment 3178262

Yaani, hadi Mboga zilizo katwakatawa zikachanganywa karot,i frech beans,hoho na kadhalika tuna import kutoka Kenya.

Spice na Herbal zote hizo ni imported kutoka Kenya.

Hawa jirani wana faidi sana hasa furusa za utalii Tanzania, wao ndio kwa kaisi kikubwa wana feed hoteli za kitalii Tanzania, wakisaidia labda na Wakulima wa Tanzania wachache hasa Wazungy kule Iringa na Arusha.

Sisi tunakomaa na kilimo chetu cha urith tulicho kuta wazazu wetu wanafanya na ndio na sisi tunakiendeleza.

Kwa sababu ku import hadi limao ni aibu kubwa sana.

Na mara zoe watu huja na story za connection ila muulize ana products gani sasa.

Hizi Super Market hakuna cha connections wewe ni uende na products yako quality, na wanacho fanya mnaweza supply lets say mayai watu 5 wote mja mayai ya kuku na yakawekwa kwenye shelf, wateja wanaamua wenyewe wanataka mayai yapi.

Ila kisingizio chetu kikuu huwa ni hicho, huwezi enda pale na product haileweki wachukue.
Tatizo lipo kwenye Mamlaka zetu kuna jamaa yangu alitaka kupeleka asali yake Supermarket aisee akaambiwa aiweke ktk standard ya kimataifa baada ya kwenda TIIBES dar alipewa utaratibu waufuata kitu ambacho kingegharimu mtaji wake wote

jamaa akaamua kuacha kinachofanyika Asali inanunuliwa Singida na Tabora kisha inapelekwa kenya inafanyiwa packing nzuri kisha inakuja kuuzwa ktk supermarket za Tz na Zanzibar so sad
 
Tatizo lipo kwenye Mamlaka zetu kuna jamaa yangu alitaka kupeleka asali yake Supermarket aisee akaambiwa aiweke ktk standard ya kimataifa baada ya kwenda TIIBES dar alipewa utaratibu waufuata kitu ambacho kingegharimu mtaji wake wote

jamaa akaamua kuacha kinachofanyika Asali inanunuliwa Singida na Tabora kisha inapelekwa kenya inafanyiwa packing nzuri kisha inakuja kuuzwa ktk supermarket za Tz na Zanzibar so sad
Mkuu super Market kuna asali za Tanzania na hata hazina TBS label, nitakupigia picha siku 1, tuna visingizo vingi sana, asali ni moja ya products rahisi sana kupewa TBS kwa sababu haina process za kuongeza mara madawa ya kuhifadhi, haoana ukisha chuja ni kupaki.
 
mkuu ata kuku tuu kwenye hoheli za hadhi ya juu wanaagizwa toka south africa coz wanadai kuku wa tz nyama yao inaharufu ya dagaa
Hapana, Hoteli kama Mount Meru Arusha au Serena Hoteli groups wanatumia kuku wa huku huku Tanzania, ishu ni ufikie kiwango chao cha ubora wanacho taka basi. shida ni ubora, wengi hapo wanaingiaga mitini.
 
Supermarket wakuda.Nenda mbeya kule karoti za kumwaga matunda yote yapo, embe kama zote. Hao supermarkert wanaona usasa kuagiza vitu vilivyofungwa kwenye nailoni, na hhunda wamiliki wanatoka huko huko.
Mtu anaeenda kununua vyakula supermarket ni limbukeni tu hana lolote la kunishawishi.
Wakenya hawajitoshelezi kwa chakula. Hawana hio ardhi Tanzania ina vyakuka fresh kila kona.
Ishu kubwa labda ni usindikaji ila sio uwepo.
Mwaka huu vitunguu watu wamekosa oa kuuza, vingu mno. Tanzania watu wanamuamko wa kulima kama soko litakuwepo. Nenda Njombe watu wanalima parachichi miti kwa kuwa uhakika wa kuuuza.
Una lima limao hujui nani atakula, likiwepo soko watu watafukia limao mpaka ziseme.
Kwa sasa kuna watanzania wanapanda matunda mpska heka buku kadhaa. Acha kubedha watanzania, wewe upo Dar zunguka mikoani uone watu walivyoamka japo kuna jitihada za kuongeza.
 
Hapana, Hoteli kama Mount Meru Arusha au Serena Hoteli groups wanatumia kuku wa huku huku Tanzania, ishu ni ufikie kiwango chao cha ubora wanacho taka basi. shida ni ubora, wengi hapo wanaingiaga mitini.
Huo ubora unaendana na bei ? Au bei ile ile ya kwa mama ntilie kuku buku 10.
 
Supermarket wakuda.Nenda mbeya kule karoti za kumwaga matunda yote yapo, embe kama zote. Hao supermarkert wanaona usasa kuagiza vitu vilivyofungwa kwenye nailoni, na hhunda wamiliki wanatoka huko huko.
Mtu anaeenda kununua vyakula supermarket ni limbukeni tu hana lolote la kunishawishi.
Wakenya hawajitoshelezi kwa chakula. Hawana hio ardhi Tanzania ina vyakuka fresh kila kona.
Ishu kubwa labda ni usindikaji ila sio uwepo.
Mwaka huu vitunguu watu wamekosa oa kuuza, vingu mno. Tanzania watu wanamuamko wa kulima kama soko litakuwepo. Nenda Njombe watu wanalima parachichi miti kwa kuwa uhakika wa kuuuza.
Una lima limao hujui nani atakula, likiwepo soko watu watafukia limao mpaka ziseme.
Kwa sasa kuna watanzania wanapanda matunda mpska heka buku kadhaa. Acha kubedha watanzania, wewe upo Dar zunguka mikoani uone watu walivyoamka japo kuna jitihada za kuongeza.
Kununua vyakula Supermarket sio ulimbukeni acha ushamba, Tanzania imejaaa masikini Super Market zenyewe za kuhesabu.
 
Back
Top Bottom