Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wa Mungu mna matata😃Kumekuwa na utamaduni wa kushehekea siku zetu za kuzaliwa kwa kila namna na kila utaratibu je hii ni sahihi au tulipaswa tusikitike na kulia kwa uchungu maana siku zako za kuishi dunia zinaisha au hii ikoje wajuzi wa mambo mje hapa
Yote mawili yanatuhusu. Furaha ya kuona umeifikisha miaka hiyo, kisha huzuni kuwa kati ya miaka unayo kadiria kuishi mwingine umepungua.Kumekuwa na utamaduni wa kusherehekea siku zetu za kuzaliwa kwa kila namna na kila utaratibu je hii ni sahihi au tulipaswa tusikitike na kulia kwa uchungu maana siku zako za kuishi dunia zinaisha au hii ikoje wajuzi wa mambo mje hapa
Hiyo hoja yako Ina mitazamo miwili; mtazamo wa kwanza ni wa kidunia, ni kweli wapo baadhi hawafurahii umri kusonga, na hii ni mara nyingi inatokana na mwenendo wa kimaisha (burudani, srarehe, anasa, raha, nk). Huyu atataka kila siku awe hivyohivyo, yaani asizeeke, ili aendelee kufanya hayo mambo.Kumekuwa na utamaduni wa kusherehekea siku zetu za kuzaliwa kwa kila namna na kila utaratibu je hii ni sahihi au tulipaswa tusikitike na kulia kwa uchungu maana siku zako za kuishi dunia zinaisha au hii ikoje wajuzi wa mambo mje hapa