Cardinal06
JF-Expert Member
- Jan 7, 2015
- 963
- 326
Huu mi naona ni wizi kabisaaaa......leo wacha niseme bwana
Nimejiuliza sana bila kupata majibu.....kwann kuna tyndu katikati ya donati?? Huwa linanikera na naona kama ni kupunjana kabisa.
Hebu anayejua aniambie lina maana gani.
hilo tundu, tobo, kitobo, kipenyeo ndio inafanya iitwe donati, kama unaona unaibiwa kale pizza
Kipenyeo???
unashangaa nini? au wewe ni mzanzibari?
Ungeniambia kitobo sawa lakini kipenyeo
kula pizza over
ndo mana nasema ww n mzenji, kiswahili kwako shida kdogo
Nakushauri urudie tu kula maandazi yako donati tuachie sisi
Dah hapo ni kuoneana sasa......bei ya pizza na donati hata hazikaribiani mkuu sasa unanishaurije apo
mkuu unaweza kupika la kihome home mkuu sio shida sana
Heheheheeee
Napita tu!
nila kupitisha kidole ili ushike donat vizur ukiila uile vzr
Eti ehhh....