Cardinal06
JF-Expert Member
- Jan 7, 2015
- 963
- 326
Huu mi naona ni wizi kabisaaaa......leo wacha niseme bwana
Nimejiuliza sana bila kupata majibu.....kwann kuna tyndu katikati ya donati?? Huwa linanikera na naona kama ni kupunjana kabisa.
Hebu anayejua aniambie lina maana gani.
Nimejiuliza sana bila kupata majibu.....kwann kuna tyndu katikati ya donati?? Huwa linanikera na naona kama ni kupunjana kabisa.
Hebu anayejua aniambie lina maana gani.