ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
UN ya chumbani kwa mumeo labda ππAnauza Vitabu UN
Hata Boss wako Yericko Nyerere ugomvi wake na Lisu ni Wivu wa kibiashara Maana Yeriko anawauzia Makaratasi yake Watindiga wa Makongorosi akina nyie ππππ
Yeye Lisu anafanya shughuli gani ya kumuingizia kipato? Napowaambiaga huyo ni kibaraka ametumwa na mabasha weke kina Amsterdam mna la kunibishia?Tundu Lissu anataka akitoe chama kwenye ulimwengu wa kumtegemea mtu mmoja kukiendesha na kukifanya kuwa taasisi inayoweza kujitegemea na kuwa vyanzo vyake vya mapato.
Jibu swali Wacha upuuzi,kibaraka wenu Lisu anafanyaga mishe gani za kumpa kipato? Au anashikishwa Ukuta?Dume zima unafuatilia maisha ya mwanaume mwenzako ambaye amekuzidi vitu vingi
Anasimamiaga kesi zipi au lini ulimuona mahakamani akisimamia.kesi.kama kina Kibatala au Mwabukusi?Tundu Lissu ni wakili msomi na leseni yake ya uwakili iko valid.
Kwa maslahi mapana ya Nchi,tunatakiwa.kujua shughuli yake , haiwezekani mtu awe anafungua safari kwenda Ubelgiji Kila wiki,anaendaga kufanywa nini?Swali la aina hii alitakiwa kuuliza mjukuu wangu ephen_!! Labda ningemuona ana sababu. Sasa wewe mtoto wa kiume, unataka vipi kufahamu shughuli za mwanaume mwenzako!! Huoni una shida mahali?
Itakusaidia nini! Aliwahi kuja kukulilia shida?
Kwani mama yeye anashughuli gani ya kumuingizia kipato zaidi ya uraisi. Bandari, zinauzwa, misitu, miradi hewa, Lisu yeye wakili wa mahakama kuuNdugu zangu Watanzania,
Sitaki Mimatusi wala mikelele wala mimaneno mingi wala blaa blaa wala porojo wala Mihemuko wala ukurupukaji katika andiko hili ambalo lipo wazi kabisa .
Nauliza hivi Tundu lissu kwa sasa anafanya kazi gani ya kumpatia kipato .inayoweza kumfanya akisaidie hata chama kama ambavyo amekuwa akifanya Mheshimiwa Mbowe Mwamba na Jabali la siasa za upinzani hapa Nchini?
Maana kukaa bila shughuli ya kumuingiza kipato ni rahisi sana hata kununuliwa na mabeberu kwa mambo yaliyo kinyume na sheria za Nchi yetu.
Soma Pia: Itakuwa ni uwendawazimu mkubwa kwa CHADEMA kumpa Lissu uenyekiti na kumuacha mwamba Mbowe
Swali lipo wazi na wala haihitaji maelezo marefu wala matusi.Kwa hiyo ningependa Wafuasi wa lissu mjibu swali hilo.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Jibu hoja,wewe unawezaje mchagua mtu ambae haeleweki anachofanya? Kama anauza ndogo Je?Small minds always discuss people
Ana vyombo vya habari,mahoteli,NGOs na ni Rais analipwa salary.Kwani mama yeye anashughuli gani ya kumuingizia kipato zaidi ya uraisi. Bandari, zinauzwa, misitu, miradi hewa, Lisu yeye wakili wa mahakama kuu
Wepi? Hakuna mwana CCM asiye na mishe ya kufanyaKwani wale viongozi wa ccm wanafanya kazi gani nje na siasa za chama?
Leo umewaweza nyumbu wote wa kibaraka ππNaona swali langu limekuwa kisu kikali kwa wafuasi wa mbabaishaji asiye na shughuli ya kufanya
Anafanyia kampuni gani ya uwakili ?Wewe bwabwa Lissu ni Wakili msomi utasemaje ni mzururaji? Una upuuzi mwingi sana. Kutwa kucha kuanzisha nyuzi kumsakama Lissu inaonyesha huna kazi ya kufanya. Sasa umehamia kwa Mbowe uliyekuwa unamuanzishia nyuzi za kumkashifu. Huo ni umalaya.
Anza kwanza kutuambia shughuli unayofanya wewe. Maana masaa 24 uko humu jukwaani kusifia tu binadamu wenzako.
Kishinda mitandaoni nayo ni kazi ndio maana kuna content creators na yeye ametengeneza content ya mada hapa unatakiwa hujibu.Hii swali imekaa nzuri. Yeye anashinda mitandaoni, halafu anauliza wenzake wanafanya kazi gani. Kama sio kuchanganyikiwa itakuwa nini?
Halafu pilipili usiyoila inakuwashia nini?
swali nje ya mada: we ni Tlaahtlaah? neno kibaraka unalitumia sana kwa lissuNa Kibaraka Lisu anafanya shughuli gani?
Kwani Tundu sio kibaraka?swali nje ya mada: we ni Tlaahtlaah? neno kibaraka unalitumia sana kwa lissu
ni mazalendmo wa nchi hiiKwani Tundu sio kibaraka?
Dalali wa vyumbaJibu swali Wacha upuuzi,kibaraka wenu Lisu anafanyaga mishe gani za kumpa kipato? Au anashikishwa Ukuta?
Ndugu zangu Watanzania,
Sitaki Mimatusi wala mikelele wala mimaneno mingi wala blaa blaa wala porojo wala Mihemuko wala ukurupukaji katika andiko hili ambalo lipo wazi kabisa .
Nauliza hivi Tundu lissu kwa sasa anafanya kazi gani ya kumpatia kipato .inayoweza kumfanya akisaidie hata chama kama ambavyo amekuwa akifanya Mheshimiwa Mbowe Mwamba na Jabali la siasa za upinzani hapa Nchini?
Maana kukaa bila shughuli ya kumuingiza kipato ni rahisi sana hata kununuliwa na mabeberu kwa mambo yaliyo kinyume na sheria za Nchi yetu.
Soma Pia: Itakuwa ni uwendawazimu mkubwa kwa CHADEMA kumpa Lissu uenyekiti na kumuacha mwamba Mbowe
Swali lipo wazi na wala haihitaji maelezo marefu wala matusi.Kwa hiyo ningependa Wafuasi wa lissu mjibu swali hilo.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Anauza Vitabu UN
Hata Boss wako Yericko Nyerere ugomvi wake na Lisu ni Wivu wa kibiashara Maana Yeriko anawauzia Makaratasi yake Watindiga wa Makongorosi akina nyie ππππ