Hivi ubora wa Yanga unaoimbwa kila wakati uko wapi?

 
Mlipofungwa na Al Hilal Sudan na kutolewa ulipotea sana humu 🤣🤣🤣...subiria kesho mkishafungwa kama utarudi humu,na kwa taarifa yako hakuna kocha anayeinyanyasa utoporooo kama Mgunda tangu enzi akiwa Coastal Union
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…