Hivi ubora wa Yanga unaoimbwa kila wakati uko wapi?

Hivi ubora wa Yanga unaoimbwa kila wakati uko wapi?

Nalazimika kuuliza hili swali kutokana na huu wimbo wa Yanga, kila siku Yanga ni bora, Yanga ni kubwa, wakiingia uwanjani ubora hauonekani.

Walikutana na timu yenye ubora Vipers wakapoteana, wakala 2. Walikutana na timu yenye ubora Simba wakapoteana, japo mpinzani alijivuruga mwenyew kipindi cha pili wakashinda. Ila ilionekana kabisa walipoteana, japo pia huenda kuruka ukuta nako kuliwasaidia.

Walikutana na timu yenye ubora Al Hilal wakalazwa chali. Walikutana na timu yenye ubora kidogo tu ya Azam ikalazimika watoe sare kwa gori la mpira uliotoka nje ila refa akawabeba wakatoa sare.

Kutokana na matokeo haya ya uwanjani, nalazimika tu kuwaza yafuatayo:

1. Je, wanajiona bora kwa sababu wana azizi Ki?
Kama ni hivyo basi wanakosea, maana huyu hana mafanikio yoyote Afrika zaidi ya kushindwa kuipeleka timu yake robo fainali msimu uliopita.

2 . Wanajiona bora sababu wana mayele?
Kama ni hivyo basi wanakosea, maana huyu na wenzake akina Moloko, Juma Shabani na wengine wakiwa na As Vita yao, walikaa nje ndani kwa Simba kwenye CACL na cha ziada ni kwamba, huyo Mayele anayeimbwa hajawahi kupata tuzo yoyote tangu azaliwe.

3. Wanajiona bora kwa sababu wana Morrison?
Kama ni hivyo basi wanakosea, maana huyu pale Simba alilazimika akae benchi mpaka alipoondoka Chama ndipo akapata namba.

4. Je, wanajiona bora sababu wana Fei?
Kama ni hivyo basi wanakosea, maana hana wasifu wowote kimatendo (ya soka) nje na ndani ya nchi labda kwa kuongea tu.

5. Wanajiona bora kwa sababu ya Nabi?
Kama ni hivyo basi wanakosea sana, maana hana rekodi yoyote nzuri tangu aanze kazi ya mpira, sanasana mwaka jana aliitwa Profesa kupitia mgongo wa mtu kisha akakutana na ubingwa wa Yanga wenye mashaka.

Enyi watu wenye ujuzi thabiti wa uchambuzi wa soka, nisaidieni, Yanga wanavyosema wana timu bora kitu gani kitanishawishi nami niamini hivyo?
ubora wa yanga upo ndan ya league ya ndani... ndo maana kila team ilyop ndan ya league inaismbua.

lakin yanga inakuwa sio bora inapokutana na team bora za nje zaidi maan inakuw haijui mbnu za bora wenzao
 
Screenshot_20221020-205436_Instagram.jpg
 
Utoporooo zaidi ya miaka 25 hawajafanikiwa kuingia group stage ya CAF Champions League...mara ya mwisho kushiriki kombe la shirikisho (wao wanaliita kombe la loosers) ilikua mwaka 2016 ambapo walishika mkia kwenye kundilao😀😀
Na zahera alikua makundi shirikisho na yanga lini!?
 
Ila miaka 25 ni mingi bwana, kuwa na aibu hata kidogo utopolo wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Timu yoyote ile ya mpira wa miguu, hupimwa kwa wingi wa makombe iliyo jikusanyia tangu ilipoanzishwa, pamoja na miundombinu yake kwa ujumla!

Haya tukae mezani tupime, kati ya timu yako na yangu; ipi ina mafanaikio zaidi kupitia hivyo vigezo viwili nilivyo kuwekea.
 
Kichaa usiwe wewe ambaye una dalili zote! badala yake niwe mimi!! Aisee pole sana.

Wenye akili tunajenga hoja! Vichaa siku zote wanawaza kutukana tu.
Ankali mbona umejistukia kwani nimekutaja au na wewe una changamoto ya akili? Isijekuwa wameshakurusha na kitu cha 'zaiko'. Kunywa maji bardiiii !!!
 
Timu yoyote ile ya mpira wa miguu, hupimwa kwa wingi wa makombe iliyo jikusanyia tangu ilipoanzishwa, pamoja na miundombinu yake kwa ujumla!

Haya tukae mezani tupime, kati ya timu yako na yangu; ipi ina mafanaikio zaidi kupitia hivyo vigezo viwili nilivyo kuwekea.
Unamaanisha pamba ni bora kuliko azam?
 
Nalazimika kuuliza hili swali kutokana na huu wimbo wa Yanga, kila siku Yanga ni bora, Yanga ni kubwa, wakiingia uwanjani ubora hauonekani.

Walikutana na timu yenye ubora Vipers wakapoteana, wakala 2. Walikutana na timu yenye ubora Simba wakapoteana, japo mpinzani alijivuruga mwenyew kipindi cha pili wakashinda. Ila ilionekana kabisa walipoteana, japo pia huenda kuruka ukuta nako kuliwasaidia.

Walikutana na timu yenye ubora Al Hilal wakalazwa chali. Walikutana na timu yenye ubora kidogo tu ya Azam ikalazimika watoe sare kwa gori la mpira uliotoka nje ila refa akawabeba wakatoa sare.

Kutokana na matokeo haya ya uwanjani, nalazimika tu kuwaza yafuatayo:

1. Je, wanajiona bora kwa sababu wana azizi Ki?
Kama ni hivyo basi wanakosea, maana huyu hana mafanikio yoyote Afrika zaidi ya kushindwa kuipeleka timu yake robo fainali msimu uliopita.

2 . Wanajiona bora sababu wana mayele?
Kama ni hivyo basi wanakosea, maana huyu na wenzake akina Moloko, Juma Shabani na wengine wakiwa na As Vita yao, walikaa nje ndani kwa Simba kwenye CACL na cha ziada ni kwamba, huyo Mayele anayeimbwa hajawahi kupata tuzo yoyote tangu azaliwe.

3. Wanajiona bora kwa sababu wana Morrison?
Kama ni hivyo basi wanakosea, maana huyu pale Simba alilazimika akae benchi mpaka alipoondoka Chama ndipo akapata namba.

4. Je, wanajiona bora sababu wana Fei?
Kama ni hivyo basi wanakosea, maana hana wasifu wowote kimatendo (ya soka) nje na ndani ya nchi labda kwa kuongea tu.

5. Wanajiona bora kwa sababu ya Nabi?
Kama ni hivyo basi wanakosea sana, maana hana rekodi yoyote nzuri tangu aanze kazi ya mpira, sanasana mwaka jana aliitwa Profesa kupitia mgongo wa mtu kisha akakutana na ubingwa wa Yanga wenye mashaka.

Enyi watu wenye ujuzi thabiti wa uchambuzi wa soka, nisaidieni, Yanga wanavyosema wana timu bora kitu gani kitanishawishi nami niamini hivyo?
Nikujibu: Wanajiona bora kwa sababu wamefungwa goli moja tu na Al hilal huko Sudan!! Lakini pia wanajiona bora kwa sababu hawakufungwa na Al Hilal hapa Dar!! Hilo mkwao ni kipimo cha ubora kabisa!! Hicho ndicho kigezo cha timu ya wananchi!!
 
Ubora usiovuka mipaka ya Tanzania ni uthibitisho wa kutumia bahasha ndani ya mipaka ya Tanzania!! As simple as that!! Proved!!
 
Nalazimika kuuliza hili swali kutokana na huu wimbo wa Yanga, kila siku Yanga ni bora, Yanga ni kubwa, wakiingia uwanjani ubora hauonekani.

Walikutana na timu yenye ubora Vipers wakapoteana, wakala 2. Walikutana na timu yenye ubora Simba wakapoteana, japo mpinzani alijivuruga mwenyew kipindi cha pili wakashinda. Ila ilionekana kabisa walipoteana, japo pia huenda kuruka ukuta nako kuliwasaidia.

Walikutana na timu yenye ubora Al Hilal wakalazwa chali. Walikutana na timu yenye ubora kidogo tu ya Azam ikalazimika watoe sare kwa gori la mpira uliotoka nje ila refa akawabeba wakatoa sare.

Kutokana na matokeo haya ya uwanjani, nalazimika tu kuwaza yafuatayo:

1. Je, wanajiona bora kwa sababu wana azizi Ki?
Kama ni hivyo basi wanakosea, maana huyu hana mafanikio yoyote Afrika zaidi ya kushindwa kuipeleka timu yake robo fainali msimu uliopita.

2 . Wanajiona bora sababu wana mayele?
Kama ni hivyo basi wanakosea, maana huyu na wenzake akina Moloko, Juma Shabani na wengine wakiwa na As Vita yao, walikaa nje ndani kwa Simba kwenye CACL na cha ziada ni kwamba, huyo Mayele anayeimbwa hajawahi kupata tuzo yoyote tangu azaliwe.

3. Wanajiona bora kwa sababu wana Morrison?
Kama ni hivyo basi wanakosea, maana huyu pale Simba alilazimika akae benchi mpaka alipoondoka Chama ndipo akapata namba.

4. Je, wanajiona bora sababu wana Fei?
Kama ni hivyo basi wanakosea, maana hana wasifu wowote kimatendo (ya soka) nje na ndani ya nchi labda kwa kuongea tu.

5. Wanajiona bora kwa sababu ya Nabi?
Kama ni hivyo basi wanakosea sana, maana hana rekodi yoyote nzuri tangu aanze kazi ya mpira, sanasana mwaka jana aliitwa Profesa kupitia mgongo wa mtu kisha akakutana na ubingwa wa Yanga wenye mashaka.

Enyi watu wenye ujuzi thabiti wa uchambuzi wa soka, nisaidieni, Yanga wanavyosema wana timu bora kitu gani kitanishawishi nami niamini hivyo?
Timu haijafungwa msimu mzima
Mechi 42+ unbeaten....
Bado ubora unaosemwa hauuoni?

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Bora ni .ma jeans na Ma Dola....nadhani sasa umefurahi
 
Wivu tu umekujaa. Kama timu imemaliza msimu wa ligi, huku ikiwa haijapoteza mchezo wowote! Ikachukua makombe yote; kuanzia Ngao ya Jamii, Kombe la Ligi Kuu, na Kombe la ASFC!!

Bado utasema hiyo timu haikuwa na kikosi bora. Imewafunga mara 2 ndani ya msimu mmoja!
Huku kwenye ligi si ndio mlikuwa mnahonga na kulazimisha ushindi na sare kwa hisani ya waamuzi?
 
Ubora wa Yanga uko wapi? Wamekutana team zinazojua mpira kiasi zote wameangukia pua, ubora unaotajwa ni upi?
Timu ya simba ipo kwenye kundi gani ya hizo timu zilizokutana na Yanga? Maana iliishia tu kutoa sare na kufungwa katika michezo kadhaa waliyo kutana msimu uliopita.
 
Back
Top Bottom