Hivi uchoyo/ubinafsi unafaida gani katika maisha yako ya duniani hapa


Jaribu fuatilia historia ya hao watu wengi huwa wanataka kwenye umaskini, so bado yuko na akili za kimaskini anafikiri akigawa vitaisha na yeye atarudi kwa umaskini wake. So yuko na fear ya kurudi alipotoka. Na akipata pa kuiba unaona anaiba kama limbukeni yaani ni kama kuna kivuli kinamfukuza. Hicho kivuli ni umaskini wake
 
Ukweli lazima usemwe, asante sana kwa mchango wako watakuwa wamekusikia hao madingi. Mi mwenyewe inanikera mno hio tabia ya kumbania mtoto maisha kisa we uli hustle. Hakika wanangu ntawapa life la ukweli ajabu ili hata siku nikianguka walie kwa uchungu kuwa yess baba alitupa maisha enzi za uhai wake. Ntaacha legacy kwa familia yangu.
 
am very positive!walionitendeaga hayo ni watoto wa dingi mdogo kbs! wamekuwa wakaka na nikienda nawapa out za haja

sipend kweli mtu hata sukari linaficha chumban !hahaha had nyama linakimbizia chumban !chumba inageuka stoo!
Ndio wanawake wenzenu hao wanavyofanya hivyo, af bora ukute wale ambao hawajasoma kabisa...wengine wamesoma mpaka elimu za juu ila ubinafsi tu uko damuni. Ha ha ha ha mnafata michele room tena!!!
 
NA WATU WANYE ROHO MBAYA/UCHOYO/UBINAFSI, AFYA ZAO HUWA MGOGORO.. HAWANAWIRI, WANAKONDA MPAKA UNASHANGAA

NAMSHUKURU MUNGU KWA KIASI KIKUBWA SINA HZO MAMBO NA NINAOMBA MKE NTAKAYEMWOA AWE NA ROHO NZURI
Dah mi pia naogopa sana kupata mke bomu aisee, najua baadhi ya ndugu zangu walipatikana hapo ila mi naepuka sana hata nikijua gf mchoyo tu namuacha fasta!!!
 
thts a very big step!.hongera! lakini muombe na msahama uliemkosea! nataman ajitokeze mmoja humu mwenye hyo tabia aeleze kwann wanakuwa na roho mbya ! ingawa tusimpopoe tu!
Wewee lazima atapopolewa tena watakao mpopoa ni hao hao wachoyo wenzie wenye tabia hiyo
 
Ndio wanawake wenzenu hao wanavyofanya hivyo, af bora ukute wale ambao hawajasoma kabisa...wengine wamesoma mpaka elimu za juu ila ubinafsi tu uko damuni. Ha ha ha ha mnafata michele room tena!!!


hahaha had vitunguu swaumu vinapelekwa rum.. gesi usiku inabebwa rum.. hahahaha! mie kwangu its like gheto..mrad heshima iwepo,, nipo poa sana aisee!hubby nae hanaga shida ni aid ya mzungu.. kuna nyumba nyingne dah! ukipakua msos unakatwa jichoo unakula kwa mawazo hahahha! mxiew
 
Dah mi pia naogopa sana kupata mke bomu aisee, najua baadhi ya ndugu zangu walipatikana hapo ila mi naepuka sana hata nikijua gf mchoyo tu namuacha fasta!!!


nakuambia muaache fasta atakuumizia sana hisia aisee! mie nahis mtu mchoyo/mbinafsi wanapishana kias kidg sana na MUUAJI TU
 
Dah mi pia naogopa sana kupata mke bomu aisee, najua baadhi ya ndugu zangu walipatikana hapo ila mi naepuka sana hata nikijua gf mchoyo tu namuacha fasta!!!
Wanajifichaga na kupretend wala hautajua utajua Sikh wazazi wako na ndugu zako wamekuja watakapolishwa maarage na kutakua na likizo ya kula nyama
 
Wanajifichaga na kupretend wala hautajua utajua Sikh wazazi wako na ndugu zako wamekuja watakapolishwa maarage na kutakua na likizo ya kula nyama
Dah dah...Sijui ntafanyaje aki ya mungu! Aniepushie tu jamani dah!
 
nakuambia muaache fasta atakuumizia sana hisia aisee! mie nahis mtu mchoyo/mbinafsi wanapishana kias kidg sana na MUUAJI TU
Dah yani huwa naamini mwanamke mchoyo lazma atakuwa mbinafsi tu, style vile chake chake tu chako chake...Nawaza ndio wale umepata tatizo kazini anakuacha udhalilike tu bila kukupa support yoyote anakusimanga tu. Mbaya zaidi anaanza kutembea na watu nje huko bila kujali!
 
Wanajifichaga na kupretend wala hautajua utajua Sikh wazazi wako na ndugu zako wamekuja watakapolishwa maarage na kutakua na likizo ya kula nyama
Ina maana siwezi kugundua mapema mkuu?
 
Dah dah...Sijui ntafanyaje aki ya mungu! Aniepushie tu jamani dah!


mie ningekuwa men nahakika ningewajua tu! unajua ukiwa active upstairs mwanamke unamjua tu! mfano mkikaa bar wakapita omba omba muangalie tu atakavyoreact uktioa 500 kumpa omba omba! angalia wakipita machinga anavyokaba had penalty,angalia hizo chenji chenji ukiiweka mezan anazisomba fastaaaa hilo liogope fasta! hata keep chenj hatak uache! mydear kimbia tu.. huy hapo atakusumbua ndoani!

kuna vitu ni easy sana mfano kumwachia machinga buku sio kesi lakin utamuona anaitolea machooo! eish

hata kwenye kula tu.. anataka nyama Za adabu ale yeye zote tena anazikusanyia kwake FUKUZA KAMA PAKA SHUME!
 
Ina maana siwezi kugundua mapema mkuu?
Ni ngumu sanaaa sio rahisi MTU kujionyesha makucha yake especially kama anataka ndoa..... Ila cha msingi muombe sana mungu ili akupe Wa kufanana nae
 
Dah inabidi nianze kuwa makini na vitu vya namna hio aisee maana ni mambo ya aibu sana kuwa na mke mchoyo.
 
Dah inabidi nianze kuwa makini na vitu vya namna hio aisee maana ni mambo ya aibu sana kuwa na mke mchoyo.


ahahah anza hujachelewa! kuna vitechniques vidg sana kumjua huyu mume au mke! ita watt wa jiran wape hela .. wanunue biscuits .. mwangalie actions zake na maneno.. lol!
 
ahahah anza hujachelewa! kuna vitechniques vidg sana kumjua huyu mume au mke! ita watt wa jiran wape hela .. wanunue biscuits .. mwangalie actions zake na maneno.. lol!
Dah..ni kweli yani ngoja nianze tizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…